Act Wazalendo mnasoma maoni ya wananchi kuhusu kiongozi wenu zitto kabwe? Na kama mnasoma maoni ya wananchi mmegundua nini juu yake na wananchi?
Someni maoni ya wananchi tafakarini na mshaurini ni mambo gani ya kuandika twiter na ni mambo gani ya kusema na wakati gani?
Haya ni maoni tu sio...
Nimezunguka bar kubwa zote za mkoa wa dar wananchi wanakula raha sio mchezo. Nimeanzia maeneo ya banana Ukonga
Tabata mbezi bichi mikocheni na kinondoni kwa kweli wananchi wanafuraiya maisha.
Huu mwaka wananchi wanafurahiya kufunga kwao mwaka kwa amani sana.
Wanashangilia uhuru wa taifa lao...
Wadau na wananchi nawaombeni mnisaidie swali langu
Je,unaweza kufanya biashara ya bar bila mziki na ukapata wateja?
Kuna katazo la kuuza bia mchana
Je ,katika mazingira haya bia zitaunzwa saa ngapi? Mchana au usiku?
Wizara zinazozohusika biashsara @nemc tunawombeni msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.