sihangaiki na mwanamke anaetembea na mumewangu, nitadili na mumewangu tu kwanini katoka nje ya ndoa then nitaangalia sababu atakayoitoa ndio nitaamua kusamehe au kubwaga manyanga potelea mbali!
hiyo lugha gani mwenzetu? kiswakinge loh! tumia lugha ipasavyo kama kiswahili au kiingereza unachanganya mno hata haueleweki, mimi binafsi sijakupata kabisaaaaa!
Ramos umenikumbusha mbalii! miezi sita iliyopita tuligombana na shemejio hadi kutaka kuondoka hapo home lakini baada ya kusuluhishana wenyewe ndio penzi likawa kama limeanza upyaaaa! tukaanza trip za mbali mara serengeti mara zanzibar duh we acha tu! sasa hizo sms tunazotumiana kutwa nzima...
mkwe hasa mama na mawifi hata uwabebe bado hawabebeki wanawivu ni balaa! MAMA MKWE ni kama mchanga kwenye mchele unajitahidi kuupembua wee lakini ukikosea tu ukabaki ukitafuna unaumiza meno ni balaa. MAWIFI nao ni kama chuya katika mchele unajitahidi kupembua lakini ikibaki inasumbua kwenye kula...
mtoto ni mtoto tu jamani kwanza shukuru mungu kakupa huyo kuna wengine mimba wanazitafuta hawapati. Halafu wanaume wanaopenda watoto wakiume si watoe mbegu yy basi! mnachoka sana ndio maana mnaishia kutoa mbegu xx zinazopelekea mtoto wa kike. mama hahusiki ktk jinsia ya mtoto ni baba tu ndie sababu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.