Jamani watz si rais kamchagua awe anamwakilisha?rais atafanya mangapi hata kama unamchukia basi mchukie pale inapostahilli sio kila kitu,apumzike kwa amani,amina
Polisi wanawajua wezi na wanakula nao,tunamwomba said mwema awe mkali kwani hali ya nchi inatisha kila siku watu wanavamiwa wanaibiwa hela nyingi tu,juzi jmosi kuna kijana aliuwawa na majambazi pale ubungo maji,na walichukua hela mpaka leo hawajakamatwa,swali je wale askari wa pkpk maarufu kama...
Hiyo ramani umetoa wapi?serikali haiwezi kingangania kitu ambacho hawana uhakika nacho,hata kwenyehisto ria tumesoma miaka ya 79 kuwa ziwa ni mali ya nchi mbili je tangia hapo walikuwa wapi mpaka leo?acheni ujinga bana,ukiangalia hiyo ramani utajua ni mtu wa malawi kachora,kwani ramani yote maji...
Hiyo ramani umetoa wapi?serikali haiwezi kingangania kitu ambacho hawana uhakika nacho,hata kwenyehistiria tumesoma miaka ya 79 kuwa ziwa ni mali ya nchi mbili jetangia hapo walikuwa wapi mpaka leo?acheni ujinga bana
Kagasheki,mwakyembe,magufuli ndio mawaziri pekee tz wenye uzalendo na nchi yao wengine wanasubiria madili wapige wajilimbikizie aka jumba la mbezi beach nk
Voda wastaarabu,hata ukiangalia huduma zao huwezi kuzilinganisha na za tigo na airtel,kama unaona vipi hamia airtel au tigo ili wakiona wateja wanapungua watalegeza tu
Serikali iwatafutie ajira ukiangalia sana watu hawana chakufanya ndo maana,njaa mbaya sana sidhani kama wangekuwa wameshiba au wana maduka kkoo wangefanya fujo.hapo swala la dini halipo hao ni wahuni,wkishindwa kutii sheria askari vunja miguu
Sindani kama muislam safi anashiriki matendo ya kihuni,mbona nipo na waislam mtaani na wao wanalaumu hivi vitendo,hao ni wahuni tu sio waislam,naishauri serikali itafutie vijana ajira ili wawe bize manake wakiwa mtaani wanaanzisha vikundi kama hivi,wazee ambao wapo huko ni wale walliochezea...
Redio ya vijana hata vipindi vyake vimebase kwa vijana watangazaji vijana,sidhani kama kuna mtangazaji amefikia 40yrs labda regina na mwenyewe sina uhakika
Hongera kagera ila msiwe mnakomaa kwa hizi timu kubwa tu,hata ndogo komaeni tusikie hata siku moja kombe limeenda kaitaba nawapenda kwa sababu mnawafunga yebo yebo
Siku zote mti wenye matunda ndio unaorushiwa mawe,boban usikate tamaa mwanagu cheza mpira achana na kina ....hawana lolote,unajua mpira na unacheza mpira wa akili,ni rafu ya bahati mbaya tu,wana simba kazeni buti tupo nyuma yenu achana na yeboyebo,shoga hawezi kuvunja ubikira nasema
Hongera kukutana na mh obama ila usiishie kupiga picha tu,mwuongelee na mambo yanayoweza kutusaidia watanzania kimaendeleo hasa kutupatia fursa za ajira na kutangaza utalii wa tz,obama aje atembelee serengeti nk atuachie madola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.