Search results

  1. B

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    Kweli zito unabusara sana.endeleza bussra zako cdm kiimarike
  2. B

    Rais Kikwete atuma salaam za rambirambi kwa askari aliyegongwa na msafara wake

    Jamani watz si rais kamchagua awe anamwakilisha?rais atafanya mangapi hata kama unamchukia basi mchukie pale inapostahilli sio kila kitu,apumzike kwa amani,amina
  3. B

    MJADALA WA DHARURA: Jeshi la Polisi linafuga wezi au wenyewe ndio wezi?

    Polisi wanawajua wezi na wanakula nao,tunamwomba said mwema awe mkali kwani hali ya nchi inatisha kila siku watu wanavamiwa wanaibiwa hela nyingi tu,juzi jmosi kuna kijana aliuwawa na majambazi pale ubungo maji,na walichukua hela mpaka leo hawajakamatwa,swali je wale askari wa pkpk maarufu kama...
  4. B

    Utajiri wa Kamanda Barlow Unatisha! Soma hapa...

    Napata machungu ujambazi unatokea mahali askari wanakuja baada ya saa moja je askari wetu ni wasafi kiasi hicho?
  5. B

    Ramani Ya Helligoland Treaty: Ziwa Nyasa Lote Liko Malawi

    Hiyo ramani umetoa wapi?serikali haiwezi kingangania kitu ambacho hawana uhakika nacho,hata kwenyehisto ria tumesoma miaka ya 79 kuwa ziwa ni mali ya nchi mbili je tangia hapo walikuwa wapi mpaka leo?acheni ujinga bana,ukiangalia hiyo ramani utajua ni mtu wa malawi kachora,kwani ramani yote maji...
  6. B

    Ramani Ya Helligoland Treaty: Ziwa Nyasa Lote Liko Malawi

    Hiyo ramani umetoa wapi?serikali haiwezi kingangania kitu ambacho hawana uhakika nacho,hata kwenyehistiria tumesoma miaka ya 79 kuwa ziwa ni mali ya nchi mbili jetangia hapo walikuwa wapi mpaka leo?acheni ujinga bana
  7. B

    je kati ya watz 45 million kuna Mwakyembe mmoja tu?

    Kagasheki,mwakyembe,magufuli ndio mawaziri pekee tz wenye uzalendo na nchi yao wengine wanasubiria madili wapige wajilimbikizie aka jumba la mbezi beach nk
  8. B

    Huduma ya supa cheka, vodacom inawalaghai/inawatapeli wateja wake?

    Voda wastaarabu,hata ukiangalia huduma zao huwezi kuzilinganisha na za tigo na airtel,kama unaona vipi hamia airtel au tigo ili wakiona wateja wanapungua watalegeza tu
  9. B

    Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

    Serikali iwatafutie ajira ukiangalia sana watu hawana chakufanya ndo maana,njaa mbaya sana sidhani kama wangekuwa wameshiba au wana maduka kkoo wangefanya fujo.hapo swala la dini halipo hao ni wahuni,wkishindwa kutii sheria askari vunja miguu
  10. B

    Maafa kutokea muda wowote Tanzania baada ya BUSARA kutoweka!

    Sindani kama muislam safi anashiriki matendo ya kihuni,mbona nipo na waislam mtaani na wao wanalaumu hivi vitendo,hao ni wahuni tu sio waislam,naishauri serikali itafutie vijana ajira ili wawe bize manake wakiwa mtaani wanaanzisha vikundi kama hivi,wazee ambao wapo huko ni wale walliochezea...
  11. B

    CLOUDS FM ndiyo radio inayopendwa na kusikilizwa zaidi Tanzania .

    Redio ya vijana hata vipindi vyake vimebase kwa vijana watangazaji vijana,sidhani kama kuna mtangazaji amefikia 40yrs labda regina na mwenyewe sina uhakika
  12. B

    Yanga kimeo tu imebakwa na kagera live 1-0

    Jamani kwani umefungwa kamba uishabikie yanga?ndg yangu hama kama hutaki kufa kwa presha,
  13. B

    WAKORA SANA KAGERA SUGAR very fwantastic!!!!

    Kagera hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhoooyeeeeeeeeeeeeeee nawapenda sana 1-0
  14. B

    Yanga mnamfukuza lini kocha?

    Hongera kagera ila msiwe mnakomaa kwa hizi timu kubwa tu,hata ndogo komaeni tusikie hata siku moja kombe limeenda kaitaba nawapenda kwa sababu mnawafunga yebo yebo
  15. B

    Hongera BOBAN Umeonyesha ukomavu.

    Siku zote mti wenye matunda ndio unaorushiwa mawe,boban usikate tamaa mwanagu cheza mpira achana na kina ....hawana lolote,unajua mpira na unacheza mpira wa akili,ni rafu ya bahati mbaya tu,wana simba kazeni buti tupo nyuma yenu achana na yeboyebo,shoga hawezi kuvunja ubikira nasema
  16. B

    Halima Mdee: Jumba la Mch. Rwakatare nalo libomolewe ili Kuepuka Double Standard!

    Hivi tunamwomba mama mchungaji atuambie ni sadaka au ni ruzuku za ubunge?naomba takukuru wanchunguze huyu mama
  17. B

    Mkono asalimu amri baada ya kukatwa wazazi CCM

    Maneno ya mkosaji aliongea mwenyewe hatakubali kama jina lake litaondolewa sasa anajikana mwenyewe,tapatapa za sisiemu,
  18. B

    Hiki ndicho wanachojua viongozi wetu wakiwa nje

    Hongera kukutana na mh obama ila usiishie kupiga picha tu,mwuongelee na mambo yanayoweza kutusaidia watanzania kimaendeleo hasa kutupatia fursa za ajira na kutangaza utalii wa tz,obama aje atembelee serengeti nk atuachie madola
  19. B

    Tunduru: Gari ya mchungaji, mfuasi wake pamoja na nguruwe 6 wachomwa moto

    Daima kuna kuvumiliana na kusameheana,vyote vikipotea ndo vita itaanza tunaiomba serikali yetu japo imetulia iamke japo kidogo
Back
Top Bottom