Hizo NGO's nazijua sana ila hakuna lolote huko ni za watu wachache wajanja wajanja wa mji i tu na mambo yao.navyokwambia toka 2008-2012 nilishapita kote huko kwenye NGO's nikakula ni longo longo tu.
Habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni Mdada wa miaka 30 nima MBA ya UDSM na nimebahatika nimeajiriwa hapa DSM mitaa ya post mpya.Pia nina ishi na Virus visababishavo ukimwi (HIV)
Naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.