Dah pole sana dadaangu ila maamuzi uliyochukua siyo sahihi kwani kumbuka kiapo wakati wandoa na isitoshe mungu alisema hakuna lishindikanalo kwake mludiye mungu napiya tubu kwaulichokifanya naamini mungu atakusaidiya mmeo atabadilika ....
Naomben mnisaidie kutafuta ile topiki ilowahi kuelekeza jins yakupata mtoto wakiume au wakike kuna jamaa kaniganda kweli. Hata use name ilotumika kwenye topick ile.
Lakufa halickii dawa nalikua nackia hivo kwawahenga naleo nimejionea mwenyewe dah! Kweli hili lidunia linavi2ko c mchezo teh teh teh teh teh teh teh teh.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.