Mbunge wangu Mh John Mnyika, nikisoma hii taarifa yako niwazi kwamba umeshajitafutia upande (uko bias), unaposema eti wanaokashifu viongozi watachukuliwa hatuwa zinazofaa...! Kwanini hukusema hatuwa zinazofaa pia zitachukuliwa kwa viongozi wanaojengwa makundi kwa kubaguwa na kukandamiza...
Awe ana wastani usiopungua 65
Kila wiki lazima ajitolee sehemu yeyote sio chini ya masaa mawili, asifanye sehemu moja zaidi ya mara tatu ndani ya mwezi
Kila mwezi lazima asome journal paper tatu topic ambayo nitamchagulia na aandike summary ya hizo paper
Kila wiki lazima anipe report ya...
Ehh kumwita Padri nimeshakuwa mdini? Yaani kumwita mtu kwa kazi yake aliosomea ni au kwa cheo chake ni udini? Mbona sijakusoma! Hivi Ponda tukimwita Sheikh Ponda ni udini? Na Kilaini, tukimwita Askofu Kilaini ni udini? Au Slaa sio Padri?
Umechoshwa?! Mbona huchoshwi na kelele za ufisadi zinazopigwa na CDM! Usichoke ndo ukweli Padri Slaa bado anipenda CCM. Slaa aliingia CDM sio kwa lengo lakuiondoa madarakani CCM, wala si kwa mapenzi alonayo kwa CDM! Kilochompeleke CDM ni bada ya kutoswa ubunge katika CCM. Uroho wa mdaraka, hbado...
Kwani ni nani aliyempa madaraka Amani Karume ya kukubali kufanya negotiation na CUF hata kuingia kwenye maridhiano ambayo yalisababisha serkali ya umoja wa kitaifa Zanzibar? Ukiweza kujibu swali hilo, basi na hilo swali lako jibu liko humo humo!
Lakini kwa kukuelimisha tu, hata iwe kajituma...
Nimesoma hayo matapishi yako hapo juu sioni point hata moja...zaidi nnachokiona naona mtu wa kijiweni anaongea bila kujuwa anachoongea!
1. WaZanzibar wanakuja Tanganyika bila vibali sababu ya Muungano kama vile waTanganyika wanavyokuja Zanzibar! Sioni anae mbeba mwenzake! Muungano...
Ingekuwa hivyo unavyosema, basi saa hizi waTanganyika ndio amabo wangekuwa wanadai muungano uvunjike! Lakini ukweli si hivyo, Tumeungana, muungano wa kiini macho, Tanzania ndio Tanganyika! Tanganyika inanufaika na kufaidika 99% ya kila kilicho cha muungano! Imebadili jina tu, kutoka Tanganyika...
We ndo wale wenye vichwa vya samaki alosema Karume...yaani karne hii 21 unazungumzia Sultani! Ebo! Eti Seif anataka usultani? Hata hueleweki! Unahoji eti kwanini hawasaidii wazanzibar hivi sasa? Atasaidia nini na kwa vipi ikiwa njia zote kuu za kiuchumi zimebanwa na watanganyika kupitia...
Hahaha imebidi nicheke...ndugu yangu unaojenga hoja kama mlevi! Hivi waZanzibar wanaonunuwa ardhi Tangayika au kuja Tangayika bila visa, ni kwa sababu ya hisani ya Tanganyika au sababu ya Muungano? Ukishajijibu swali hilo, utagunduwa kwamba huna sababu wala hoja ya kulalamika kwamba eti wa...
Nguruvi3, ukitaka utumie akili yako vizuri katika kuangalia mambo na kujenga hoja, basi kwanza jaribu kuondoa chuki kwa hilo jambo husika! Ukijenga hoja zako kwenye misingi ya chuki tu kama ulivyofanya hapo juu, basi unasababisha watu waone the other side of you (Ujinga na upuuzi wako)!
Sasa...
MM hata wewe unajuwa kwamba SUK iliundwa kwa rdihaa ya Wazanzibar. Ikiwa kwa njia ya kidemokrasia waliulizwa kwa kura ya maoni, na wao wakajitokeza kupiga kura hiyo, na 64 % wakakubali iwepo SUK, Jee hilo halitoshi kujuwa kwamba ipo kwa ridhaa ya waznaizbar! Au ili iwe imeundwa kwa ridhaa yao ni...
Umedhani sivyo, hoja yangu ni hoja yangu ni "Mapambano ya kudai haki, yanweza kufanywa ukiwa ndani ya system inayopora haki au nje ya system hiyo"
Upuuzi wa MM ni kutaka Maalim Seif eti ajiuzulu kwanza ndipo adai Uhuru wa Zanzibar...
Sera ya serkali 3, ilikuwa sera ya CUF, ambayo kwa...
Mzee Mwanakijiji, mara nyingi unapotoa hoja kuhusu Zanzibar na uhuru wake, basi hoja zako zinakuwa zakitoto kupita maelezo. Inafikia wakati unajiuliza, hivi huyu anaejenga hoja hii ndie yule yule Mzee Mwanakijiji nnae soma makala zake? Hivi ndie huyu mchambuzi wa mambo ya siasa? Mbona kwenye...
Jaribu muone...tunajeshi lakutosha, lile tulilolimwaga bara barani wakati wa maandamano ya waislam ni wachache mno. Tutawaswaga swaga na lichama lenu tutalifutilia mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.