jamani mbona makanisa yanachomwa na watu wazima na wakristo wamenyamaza kimya, mihadhara ya waislam full kuuponda ukristu na wamekaa kimya.
nasikia huyo aliyekojolea ni mtoto wa miaka 12. come on! he is just a kid! aelezwe kosa lake kwa upendo na asamehewe.
Wote hampendani, sijaona sababu ya kuachana hapo. love can change some1, hajabadilika, hakupendi. na wewe umeshindwa kumuaccept kwa jambo dogo kama hilo je utaweza kuaccomodate weakness nyingine kubwa.? hampendani, period. kama kweli unampenda mrudie na umwambie kuwa huwezi ishi bila yeye alafu...
Habari wana jf, mimi huwa napata kigugumizi pale ninapoona mtu ananyanyaswa na mpenzi wake alafu bado anamng'ang'ania, inaniumiza zaidi pale anapokuja kulalamika kwangu kuhusu mpenzi wake, nikimshauri amuache anaenda kunisemea kwa mpenzi wake unakuta huyo mpenzi anakupiga vijembe, hala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.