Haya sasa kwa wenzetu sisi wacha tuendelee na siasa zetu. Za pale eaport wale Custom kuiba mizigo yetu huwezi kulalamika kupigwa mizinga "oya una dollare zimebaki niache basi" ujinga ujinga na kuweka chance za Rushwa sasa weka mashine hizo bongo kama kutakua na Rushwa kwwnza ukitoa idea za...
Bongo ni Mambo ya Mipango impossible, wakati possible inawezekana wanataka ngumu kumeza Bandari Bagamoyo wakati ukiboresha tanga Umemaliza na ni very simple
Kelele wanazo watz. mtu yoyote wa Kigali umewaiskia anaongelea haya mambo ya kifala hata nenda twitter fcb ig na blogs wale jamaa wako smart sana wanafanya kazi kuliko nyie wana siasa ambao nyerere waliachia urithi huo wa Siasa.wale wnyarwanda wanfanya kazi nyie kutwa nzima ofisini kupiga umbea...
Kwenu nchi imejaa rushwa kila kona mnashindwa kudeal nao hiii leo uje rwanda WTF mtuache na kawilaya ketu. Rwanda ni padogo yani wewe ni sawa Na (") namgonga dem we unapiga chabo afu unanipangia style...Dem wangu style upange wewe Majanga.(")
Tafuta movie za kimafia au zile za ma Gangsta utajua wtf hii dunia iko vipi.wewe kagame kuua inakuhusu nini una ndugu Rwanda au ndio ule Utanzania kujua hata jirani kala nini.acha usnitch bitch.
Hii baba wanajifanya hawaijui waTz kua baba yao alienda kule Kampala akamuomba m7 kua yaishe samahani niliteleza Bt Kagame The Real man akasema tulia wewe mwanaume ni kukaza ubishi mwanzo mwinga. Katisha Kagame na sasa hyo ndio inawauma kua baba yao alienda kupiga magot kule.
Anawalipa kwa kuuza dawa za kulevya matajiri wachache maskini wengi kama anawalipa basi mngekua zaidi ya UK america ambao wameenda kukomboa nchi za kiarabu Shame on yo' ass.
Kigali hyo safari naomba nitajoin na Mimi tuwe pa1.Tanzania nyie ni wazee wa mipango kama Tunacheza Pool table mipango mingi mwisho wa siku ukigusa Black ni Two shots.
Kumbe waliostarabika wako wapi ma nigga ujasomeka na ambao wajastarabika ndio mmoja wapo wewe eti.....
Vita ilipiganiwa rwanda hii leo kiwaune waswahili.kweli mbongo ni mmbea ka marekani ila marekani yuko kimaslahi zaid sijui nyinyi mko kivip kule drc au mnasubiri mungu atawalipa ....?????
4.Kitu ki1 kilichowakwaza ni kua mlijiona nyie ndio Godfather east africa (hata kwenye ofisi za serikali bosi anajiona mungu mtu akija akimchallenge kidogo anataka hata kurusha ngumi nina ushaidi wizara za elimu ujenzi na maliasili)hasa suala la Port kagame aliamua kwenda Kenya kwa ujeuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.