tunapenda kuchukua fursa hii kuwahabarisha ya kwamba ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) ktk College ya humanities and Social Science mambo si shwari kwa upande wa siasa za Chuoni. Na hii ni kutokana na uongozi mbovu wa rais Janus Bernad ambaye ktk uongozi wake vitendo vya ufisadi vilitajwa...
sio CCM peke yake hata bakwata nayo inahusika pia kwa udadisi wangu nimegundua kwamba waislamu wengi tena wasomi hawaipendi bakwata wanadai haina jipya la kuwakomboa kama ilivyokuwa zamani chini ya EAMWS
sio kosa lao wabaya ni hao wenzenu bakwata kukubali kutumiwa na ccm mkitaka mfanikiwe basi hakikisheni bakwata inakufa na mnaanzisha taasisi moja kubwa hao ndio wanafki wenu kazi yao kupiga picha na mafisadi na kuuza viwanja
kwa hali hii sijui vyombo vya usalama vinasubiri nini kumuachia Shekh Ponda na wenzake au wanataka vita na waislamu hawajui kama katika nchi hii kuna watu wa dini tofauti sasa iweje Uislamu uwe sababu ya kuingia vitani wenyewe kwa wenyewe
sio kauli nzuri hizo ukizingatia lengo letu humu ni moja sidhani kama kuna mafundisho yoyote iwe kipaimara ama ekaristi watu wakafundishwa kutukana imani nyingine na haikutokea enzi za Yesu
kwenye yale mambo matatu naunga mkono lakini maelezo mengine umetoka nje ya kanuni na maisha ya kiislamu kwa sababu uislamu unatambua haki ya kila mtu awe muslim or not na kama we ni muislamu basi ni lazima ufate mafundisho yako kwani hakuna jambo hata moja ukalitekeleza la dini hususani ya...
danganya toto hiyo CHADEMA hawawezi kuutetea umma wa kiislamu kamwe na ifahamike kwamba uislamu utabaki kulindwa na ALLAH kama alivyoahidi usishangae kuona kitabu chake na mtume wake wanadhalilishwa huo ni mtihani kwa waislamu ili kuona wana iman kiasi gani katika kuitetea na kuipigania dini yao...
mwanasheria ameongea jambo zuri linahitaj kufanyiwa kazi naimani all muslims watalifata ila serikali iwe makini kamatakamata ya viongozi wa dini hususani ya kiislamu inasababisha madhara kwa wengine
kama unataka msaada nenda kwa padri aliyekutuma umezoea kuona kila tukio la maandamano linalofanywa na waislamu basi ni ugaidi ila wakifanya wagalatia wenzenu unaona ni sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.