Search results

  1. A

    Malalamiko: Kampuni ya Tigo mnakera

    ni kweli kabisa TIGO wameshindwa kazi. Sijui sheria zipoje ili kama kuna uwezekano wa kuwaburuza kortini nifanye hivyo mara moja.
  2. A

    Siasa za udom kuelekea uchaguzi

    tunapenda kuchukua fursa hii kuwahabarisha ya kwamba ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) ktk College ya humanities and Social Science mambo si shwari kwa upande wa siasa za Chuoni. Na hii ni kutokana na uongozi mbovu wa rais Janus Bernad ambaye ktk uongozi wake vitendo vya ufisadi vilitajwa...
  3. A

    Mabadiliko yatarajiwayo - Uongozi CHADEMA 2013

    kikishakufa nae ataenda wap???
  4. A

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    mimi naona zito slaa na mbowe wangetoka tu kwenye hiki chama wote waroho wa madaraka
  5. A

    Kiongozi CUF: Serikali na CCM ndio wanangombanisha Waislam na Wakristu

    sio CCM peke yake hata bakwata nayo inahusika pia kwa udadisi wangu nimegundua kwamba waislamu wengi tena wasomi hawaipendi bakwata wanadai haina jipya la kuwakomboa kama ilivyokuwa zamani chini ya EAMWS
  6. A

    Police ndio wanaoanzisha Vurugu kariakoo.

    sio kosa lao wabaya ni hao wenzenu bakwata kukubali kutumiwa na ccm mkitaka mfanikiwe basi hakikisheni bakwata inakufa na mnaanzisha taasisi moja kubwa hao ndio wanafki wenu kazi yao kupiga picha na mafisadi na kuuza viwanja
  7. A

    Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

    ndio shida ya waandishi wetu wamekubali kutumika
  8. A

    Waislam watishia kuandamana nchi nzima siku ya Ijumaa

    kwa hali hii sijui vyombo vya usalama vinasubiri nini kumuachia Shekh Ponda na wenzake au wanataka vita na waislamu hawajui kama katika nchi hii kuna watu wa dini tofauti sasa iweje Uislamu uwe sababu ya kuingia vitani wenyewe kwa wenyewe
  9. A

    Waislam watishia kuandamana nchi nzima siku ya Ijumaa

    sio kauli nzuri hizo ukizingatia lengo letu humu ni moja sidhani kama kuna mafundisho yoyote iwe kipaimara ama ekaristi watu wakafundishwa kutukana imani nyingine na haikutokea enzi za Yesu
  10. A

    Vyombo vya usalama acheni propaganda, Sheikh Farid mlimteka kweli, ushahid huu hapa...

    hebu tazama kwa makini mwenendo wa wachangiaji halafu upime bila upendeleo sikufichi JF imechangia kwa kiasi kikubwa kuenea kwa udini
  11. A

    Vyombo vya usalama acheni propaganda, Sheikh Farid mlimteka kweli, ushahid huu hapa...

    si nilisema jambo linalowahusu UAMSHO watu huliponda ila la CHADEMA mmmmmmh kazi kweli kweli 2015
  12. A

    Dr. Slaa, Mbowe na Godbless Lema wakamatwa

    ila wangekuwa uamsho mngelipongeza jeshi la polisi wafuasi wa CHADEMA bana
  13. A

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    kwenye yale mambo matatu naunga mkono lakini maelezo mengine umetoka nje ya kanuni na maisha ya kiislamu kwa sababu uislamu unatambua haki ya kila mtu awe muslim or not na kama we ni muislamu basi ni lazima ufate mafundisho yako kwani hakuna jambo hata moja ukalitekeleza la dini hususani ya...
  14. A

    CHADEMA waweka bayana msimamo wao juu ya yaliyowasibu ma-Sheikh Ponda na Farid

    danganya toto hiyo CHADEMA hawawezi kuutetea umma wa kiislamu kamwe na ifahamike kwamba uislamu utabaki kulindwa na ALLAH kama alivyoahidi usishangae kuona kitabu chake na mtume wake wanadhalilishwa huo ni mtihani kwa waislamu ili kuona wana iman kiasi gani katika kuitetea na kuipigania dini yao...
  15. A

    WAKILI WA PONDA - Brother Juma Nassoro AWAUSIA WAISLAM

    mwanasheria ameongea jambo zuri linahitaj kufanyiwa kazi naimani all muslims watalifata ila serikali iwe makini kamatakamata ya viongozi wa dini hususani ya kiislamu inasababisha madhara kwa wengine
  16. A

    VURUGU DAR & ZENJ: Terrorism au Acts of Terror?

    kama unataka msaada nenda kwa padri aliyekutuma umezoea kuona kila tukio la maandamano linalofanywa na waislamu basi ni ugaidi ila wakifanya wagalatia wenzenu unaona ni sawa
  17. A

    Cuf kutoa tamko kesho kuhusu kukamatwa kwa shekh ponda!!

    aliyeweka hii nyuzi kuna kitu anakitafuta halafu me nashangaa hawa watu wana elimu kweli au wanafikiri sisi ndo kama hao wanaopost picha za matusi FB
  18. A

    Maalim SEIF kuunguruma mkutanoni KESHO(Jumapili) DAR ES SALAAM

    mmezoea kumuona padri slaa tu mtakufa kwa udini nyie wafuasi wa chadema
  19. A

    Watetea haki za binadamu wako wapi?

    bora hata umewakumbusha wajibu wao hao vibaraka wanaojiita wanaharakati za haki za binadamu wakiongozwa na yule mama mwenye kiherehere
Back
Top Bottom