Search results

  1. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Siku hizi humu hakuna stiki kama zamani na pia tumepata plastic fans huko nyuma kulikuwa na fimbo za kutosha kuna watu walikuwa na wachezaji tena U20 (teixeira) na walikuwa wanapendwa balaaa ndo maana Malafyale anaonekana mkorofi ila wale watu wagumu wa kipindi kile ni wapenzi wasomaji. Ni...
  2. mak89

    Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

    2005 alikuwa nancy sumari, angela alikuwa 2002
  3. mak89

    CHADEMA hamna Jeshi wala Dola, hali hii inahitaji msaada wa nje

    hiyo ni anterior na lateral view ya x-ray
  4. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    4-3-3 nadhani imeishapatiwa dawa labda tujaribu 4-2-3-1
  5. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Joe Gomez
  6. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    za kariakoo siyo OG kama unataka OG nunua za vilabu vyetu vya ndani utawasidia kuingiza mapato. Jezi Og za liverpool andaa zaidi ya laki mbili kwa moja
  7. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    let's hope for the best with this young squad
  8. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    😂😂😂😂😂😂😂
  9. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mane and Salah can thrive in any team when we bought salah he had stellar performance at Roma one of their best performer of that season Mane at Soton missed few end-product touches he showed glimpses of being world class attacker. Coutinho would have been a beast after leaving us and...
  10. mak89

    Zuio la Watanzania kwenda Ng’ambo: Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani

    kabla ya kuwa secretary of states alikuwa director wa CIA kwahiyo anamjua makonda vizuri
  11. mak89

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    tumesajili damu mpya kule King Ngwaba hahaha
  12. mak89

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    za masiku Nzi siku hizi mbona hutembelei jukwaa la majogoo MosDef anakusubiria mbishane
  13. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    when was this? is that not Emre Can?
  14. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mkuu kwenye issue ya Striker tu sahau kwa sasa hawa front three wetu We are equally cursed and blessed sidhani kama kuna top striker atakaekubali kubali kuja na anajua kabisa kuwatoa ni mzk ataishia kuwa bench warmer hapa nadhani ni kuwa na mido iliyofit au kuwa na attacking mido
  15. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ni siku nyingi sijaandika chochote humu na majukumu yanazidi kuwa mengi uzee ushapiga hodi hahahhahaaahha. Kwa sasa tuna kikosi kizuri ila kidogo rotation inakuwa ndogo nadhani hivyo ndo Klopp alivyo hata alipokuwa dortmund kikosi chake kilikuwa kina tabirika na akiumia mmoja tu habari...
  16. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    na save ya Pepe? give credit where its due mr. nicola
  17. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Moja ya complete typical number nine we ever had in modern football second to Suarez wa liverpool. Striker ambaye aliwafanya Vidic na Rio kama watoto wake. thanks for the memory that performance vs Madrid anfield 4-0, old traford 3-1 na kile kipigo kilicho mfukuzisha Scolari pale darajani...
  18. mak89

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    As I can remember mwanzo wa msimu huu King Ngwaba alisema anataka zawadi ya ndoa May. I have leo vijana watakupa zawadi ya Ndoa yako kama umeoa
Back
Top Bottom