Kaka hayupo mwana ccm mwenye nia ya kweli kuhusu maisha ya watanzania kwani wao lengo lao ni kutawala wether tunataka au hatutaki na watakaojitokeza hapa watakuja kutukana tu!
Yani wewe ndiye kibaraka wa mawazo hivi unadhani kushindwa kwa odinga na mdc nako ni kujitambua kwa waafrika? hujui kuwa kuna kuna haki ya maoni ya watu imeshindwa kuthaminiwa ikiwa ni kama wewe na waliokutuma mnavyotumia mbinu nyingi kuuzima upinzani mfano UGAIDI?
Kiukweli jeshi letu siyo tu kwamba limekosa heshima bali limebadilishwa kuwa taasisi ya watu binafsi(ccm)ili kulinda maslahi yao na kuwasahau watanzania.mimi binafsi nina imani ya asilimia 0 na jeshi la polisi
Mie nahisi ni dalili njema za ukombozi ambazo hata baadhi ya watendaji wa vyombo vya ulinzi na usalama wanaamua kukubaliana na mabadiliko hayo lakini ktk njia ambayo siyo rahisi wananchi na mtu mwingine kuamini kuwa kinachohitajika ni mabadiliko na wanatumia njia hii kutokana na sheria na...
Acha mawazo ya kinafiki yasiyo kuwa na tija na yenye kila aina ya kufukuzia viposho,kwani Watanzania walio wengi wanakubaliana na mawazo ya wanamtwara kuwa gesi itawanufaisha vipi kama wenyeji wa eneo husika na siyo kuwanufaisha wakubwa wanaojali ndugu,rafiki na familia zao na hasa wakiangalia...
Wote wananuka kila aina ya uchafu hakuna hata mmoja mwenye haki ya kumnyooshea mwenzake kidole na ndiyo maana kila anayefichuliwa kuwa ni fisadi anapewa madaraka na huu ni mpango mahususi ili wananchi wao wenyewe waone,wapime,waamue na wachukuwe hatua thabiti!
Tatizo siyo wabunge bali ni chama chao cha ccm,kwani falsafa yao inasema weka mbele maslahi ya chama kwanza badala ya wananchi na ndiyo maana mbunge yeyote anaeonekana kuwasema vibaya viongozi ccm hata wale wa kitaifa huitwa ktk vikao vyao na kutishiwa kufukuzwa uwanachama mfano ni ktk kile cha...
Yaani hujui kuwa ccm na viongozi wake ndo wanaoingia mikata isiyo na tija kwa wananchi?,wala rushwa?,wasiyoumia na ugumu wa maisha kwa watanzania?kwani hujui kuwa wao ndiyo wanaolazimisha kujenga bomba la gesi kutoka mtwara kwenda dar?,kwani hujui kuwa wao ndiyo wanasafirisha twiga pembe za...
Tuko pamoja mkuu wana mtwara wanahaki na ni lazima wasikilizwe kwani mikoa yote yenye madini wananchi wake wanaongonza kwa umasikini na matokeo yake wananufaika vigogo wa ccm na serikali tumechoka na upuuzi huu.
Kwani Mbowe na Slaa ndiyo wameamuru wanamtwara wapigwe mabomu?,unapomzungumzia Raisi ni sahihi kwani yeye ndyie ameamuru wananchi wa Mtwara wapigwe na kuumizwa hivyo anasherehekea ushindi kwa sera kandamizi kwa kisingizio kuwa rasilimali ni mali ya taifa na mbona hujazungumzia juu ya hotuba za...
Mkuu nimekupata vilivyo na nashauli kuwa enzi zile za kudanganywa zimekwisha na wabunge hawa hawastahili kurudi tena bungeni na ndo maana wanatukana ovyo bila staha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.