Page 1 of 2
11 Septemba 2018
TAARIFA KWA UMMA
Kampuni ya Maxcom Africa PLC – Maxmalipo inapenda kuutaarifu umma
kwamba, imeongeza huduma mbalimbali kupitia kwa mawakala wake wote
wa Maxmalipo.
Mawakala wa Maxmalipo kote nchini wanaweza kulipisha huduma nyingi
zaidi kutokana Maxmalipo...
Page 1 of 2
11 Septemba 2018
TAARIFA KWA UMMA
Kampuni ya Maxcom Africa PLC – Maxmalipo inapenda kuutaarifu umma
kwamba, imeongeza huduma mbalimbali kupitia kwa mawakala wake wote
wa Maxmalipo.
Mawakala wa Maxmalipo kote nchini wanaweza kulipisha huduma nyingi
zaidi kutokana Maxmalipo...
Kampuni ya Maxcom Africa PLC, wamezidi kuboresha huduma zao.
LEO wametangaza Huduma zao Mpya ambazo zinaweza kupatikana kwa Mawakala wa Maxmalipo Popote.
Huduma hizi zimeambatana na huduma zilizopo kwenye mfumo wa serikali wa malipk Kielektroniki yaani GEPG.
- Malipo ya bili za Maji mikoa...
Kampuni ya kimataifa ya teknolojia ya malipo, imetangaza rasmi ushirikiano wa kimkakati kati yao na Maxcom Afrika ambayo itawawezesha wauzaji zaidi ya 30,000 kupokea malipo ya Visa kwa kutumia simu ya mkononi pamoja na mawakala 20,000 ambao watawezeshwa kupokea amana na kutoa malipo na...
BREAKING NEWS!!!
Kampuni ya Maxcom Africa PLC- Maxmalipo na shirika la ndege la Precision Air Leo wametiliana saini makubaliano ya kuwezesha malipo ya Tiketi za ndege kielektroniki.
Katika Makubaliano hayo wateja wa shirika la Ndege la Precision Air wataweza kulipia Tiketi za safari ya ndege...
Tunatafuta
Watangazaji 3
Dj 1.
Sifa:
Uwe umesomea Utangazaji au Una kipaji cha kutangaza.
Wenye uzoefu na wanaojiamini watume CV au Barua za Maombi kwenye email.
Pia uwe Tayari kufanya Kazi Mkoani. Ni redio ya kibiashara (Commercial Radio)
info@mainstreammedia.co.tz
Mwisho ni Tar 25 Jan...
Radio Mpya inaanzishwa Mkoani Manyara na Tunatafta Watangazaji wa redio, wenye uzoefu zaidi ya Mwaka Mmoja
Mwombaji awe tayari kufanya kazi kwenye Redio iliyoko Mkoani.
Mwongozaji Awe na cheti chochote kutoka kwenye chuo cha habari kinachotambulika.
Atume CV kwenda...
Wana Jamvi, kuna Radio Iko manyara inaitwa Manyara FM, nimeisikia Juzi nikiwa Babati ila sikujua mawasiliano yao.
Je kuna Mtu ana mawasiliano yao?
Naomba hapa au private.
It is for business purpose.
Nenda Brela kapate Majibu.
Daima hata wewe ukifanikiwa kimaisha lazima utasemekana ulikua mtoto wa nje kwa baba yako.
Hao wanaoisema Maxicom ni wenye hila na Mafanikio
nda
Wewe ni Mnafki
ni
Usiwapotoshe wana wa Jamii forum.
Acha unafki. Umetumikamkuwakanganya watanzania. Tanja kampuni 5 tanzania zilizopo kwenye ISO.
Unakosea sana umepoteza uzalendo.
$'ataka nchi hii wafanyabiashara wawe ni wageni au?????
Una maelezo marefu na Mazuri, ila Nnadhan Hii research yako haina mizania. Mimi ni Mdau wa ICt na nimekua naifuatilia vyema Kampuni hii.
UZi wako unatakiwa uuboreshe.
1. Je Umejiridhishaje kwamba servers sio salama?
2. Je umewahi kukutana na wadau kujua haya?
Sisi tuliopitia Ujasiriamali...
Jamii forum should be Used as a Plain platform and room of unbiased discussion.
Msije na Hija zenu za kibiashara, Kiushindani kutaka wana Jamii tuwasaidie..
Mdau anzisha Uzi mwingine
Tobaa, Wewe ndio maana nimesema hata Gari nawaiswasi huna... Deni haliandaliwi na Maafisa wa TRA Kaka, Unatakiwa kutuma tu SMS yenye namba fulani au kuprintiwa deni lako Pale unapoenda TRA na TRA zote wanakuambua njia za kulipia.
Usivute Hisia za wanajamvi kwa Hoja Nyepesi nyepesi.. Kama Gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.