Search results

  1. S

    Bajeti ya Serikali 2008/09 - Exclusive Thread

    Nadhani Wameongezewa bajeti zaidi ili wa endeleze ile kazi yao ya kuwaua watu makusudi, kama washitakiwa hawa wanavyo elezwa! Washitakiwa katika kesi hiyo wanadaiwa kuwa Januari 14 mwaka juzi, katika msitu wa Pande Luisi, Mbezi, Dar es Salaam walimuua kwa makusudi Bw. Ephraim Chigumbi, Bw...
  2. S

    Naona kijana anaanza kuchemka sasa!

    Hebu tujikumbushe kidogo na hii habari, Habari Leo; Jumamosi,May 24, 2008 @00:02 Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam, Alfred Tibaigana anayetarajia kustaafu Julai mwaka huu amesema huenda akagombea ubunge katika Jimbo la Muleba Kusini mwaka 2010. Mbunge wa sasa wa Muleba...
  3. S

    Kashfa nzito toka UK

    Nzoka, Check ur PM
  4. S

    Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri

    Mhhh! ngoja tucheck mataani...nakuja na jibu
  5. S

    Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

    Asante sana Mheshimiwa! Hilo VX kama ni la serikali si'litakuwa limesajiliwa namba za serikali ama lina namba za ikulu? Swala la ufisadi tusilifanye sasa kumnyima mtu haki zake za msingi, kitu kama shamba, tena liko bagamoyo tena la urithi ajabu nini hapo? kwa mfano Sasa hivi akiugua...
  6. S

    Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri

    Ukweli Zombe hajafa, labda kama ni Breaking News! Zombe anaendelea na kesi yake.... "Katika kesi hiyo itakayosikilizwa na Jaji Kiongozi Salum Massati kwa siku 13 mfululizo, upande wa mashitaka unategemea kuita mashahidi zaidi ya 50 na kuwasilisha vielelezo kadhaa vya kuthibitisha makosa dhidi...
  7. S

    Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

    Kama ni kweli anazingumzia ana pesa Bank isiyofikia hata 10Mil, ni kiwango kidogo sana hicho wala hapaswi kulaumiwa kwa lolote. Mambo mengine kama shamba, nyumba,kutembelea VX ni kitu cha kawaida, linaweza kuwa gari la nyumbani huyu ni mtoto wa rais ana masilahi yake serikalini kupitia baba...
  8. S

    Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri

    Yaani ukinitajia jina la Zombe najisikia kichefua - chefua! tena ingekuwa kunauwezakano hukumu ya kesi yake ingesomwa hata leo hii, ale miaka yake Na hilo lililokuwa likubwa lao (Mahita) hili jamaa lilikuwa na vijana wa kazi waliokuwa wakiendesha shughuli za uporaji wa madini na pesa, wahindi...
  9. S

    Tanzania: Soda plant will not harm Flamingos

    "Bw. Nasari alisema kuwa uanzishwaji wa mradi huo hapa nchini una uwezo wa kuliingizia taifa dola milioni 300 kwa mwaka na kwamba wanahitaji dola milioni 450 kwa ajili ya kutekeleza mradi huo". Sasa huyu Bwana anaposema mradi utahitaji dola Milioni 450 kwa ajili yakutekeleza mradi, sasa...
  10. S

    Kashfa nzito toka UK

    Naungana na Majibu ya ndugu Ezekiel Maige kwenye kujibu yake ya msingi juu ya tuhuma ya vifo vya Guides & porters wanaopanda mlima kilimanjaro. Nikweli kabisa idadi ya vifo vya Guides & portes 20 kwa mwaka ni uzushi! Sina rekodi ambayo inanionyesha kuwa kuna guide ambaye alishakufa akiwa...
  11. S

    Kashfa nzito toka UK

    gaijin; Mgeni anayekuja kupanda mlima kilimanjaro na akahitaji huduma maalum anatakiwa kuwa na BIMA yake mwenyewe, ambapo mashirika kama AAR, Flying Doctor hualifiwa mara moja na hutuma ndege kuja kumchukua, lakini kwa wale wanaokuja kupanda na kutegemea rescue ya KINAPA wakipata matatizo...
  12. S

    Tanzania: Soda plant will not harm Flamingos

    NEMC awaits Soda Ash EIA report Masembe Tambwe Daily News: Wednesday, May 21, 2008 @00.02 Developers of the proposed Lake Natron Soda Ash facility are reviewing an Environmental Impact Assessment (EIA) report to address public concerns of the project, the National Environment Management...
  13. S

    Zakia Meghji na uuzaji wa Mbuga zetu je atapeta pia ?

    Asanteni sana! sasa niko sawa kazi iende mbele!
  14. S

    Zakia Meghji na uuzaji wa Mbuga zetu je atapeta pia ?

    Mkuu Kibunango Asante kwa maelezo, Basi hizi source za serikali nazo zinapotosha ama hajiandaliwi kitaalamu hebu check hii Zakia H. Meghji Ministry of Natural Resources & Tourism Minister 1994 2005 http://www.parliament.go.tz/bunge/mp_Cv3.asp?PTerm=2005-2010&fpkey=3 Dr...
  15. S

    Zakia Meghji na uuzaji wa Mbuga zetu je atapeta pia ?

    Mkuu Kibunango Hebu jaribu kucheki vizuri rekodi zako, sijui zangu ndiyo zitakuwa na makosa ama zako ndiyo zitakuwa na makosa maana hapa hatugombani ila tunawekana sawa katika kupata ukweli. Rekodi yangu inaonyesha Bi. Zakia Hamdani Meghji amekuwa waziri kwa kipindi hiki: 1994 -2005...
  16. S

    Zakia Meghji na uuzaji wa Mbuga zetu je atapeta pia ?

    Mkuu Hapa sijui kama watu wanalielewa hili som kwani limetokea kipindi kirefu kidogo! Ni kweli kipindi kile kampuni ya uwindaji ya Kiarabu ilipopewa kibali cha kuendesha shughuli za uwindaji Loliondo Bi. Zhakia alikuwa waziri wa maliasili na Utalii. Kampuni hiyo ilipatiwa kibali cha...
  17. S

    Mwana JF aaga dunia!

    Hili ni pengo kwa wana JF, lakini mapenzi ya Mungu yatimizwe! Mme mfiwa ambaye ni mwana JF, tukopamoja nawe katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo. Mungu akutie nguvu!
  18. S

    JK: Tourism now leading foreign exchange earner

    Heshima yako Bubu, Katika swala la Makampuni yanayoendeshwa na wawekezaji kutoka Magharibi pamoja na Kusini mwa Africa, yamekuwa wakijipatia faida kubwa zaidi ya makampuni ya kizalendo. Hawa jamaa wa kizungu wanapofungua kampuni basi pia hufungua na camp / flying camps/ mobile camps zao...
  19. S

    Tanzania: Soda plant will not harm Flamingos

    Asante sana Fundi Mchundo! Nadhani kielelezo hicho ni dalili ya kumkoma nyani Kumbe mradi wa Magadi Soda Company ulianzishwa wakati wa ukoloni; nadhani kama ingekuwa kipindi hiki hakuna Mkenya ambaye angeukubali! Asomaye na afahamu!
  20. S

    Tanzania: Soda plant will not harm Flamingos

    Mheshimiwa GT Siamini na wala sina uhakika kama kunafitina yoyote inayofanywa na watu wa Mazingira; kama unaushahidi ni vyema ukauweka ukumbini ilinasi tujionee, lakini vinginevyo utakuwa unaasili ya kibaguzi! Kwa Mfano kwenye hili la Lake Natron, "Mr.Lota Melamari, the CEO of the Wildlife...
Back
Top Bottom