Ni tendo la aibu na sikawaida ya desturi zetu hivyo yuko sawa kutoonekana mahakamani vinginevyo shauri lingesikilizwa kwa faragha kumstili aliyeumizwa.
kwa lugha rahisi tu ni kwamba serikali haikemei viashiria vinavyochochea mihemko ya ngono tamaduni zetu zimebadilika sana nyimbo na thamthilia nyingi zinahamasisha ngono na vyombo vipo sasa tutarajie nini kwao.
bibilia zote ni za wakatoliki ila wengine wamepunguza vitabu japo walutheri wengi wanatumia tena bibilia zenye vitabu vyote wao ni wanunuzi wa bibilia za kikatoliki.
Wakatoliki wanamatoleo matatu yanayotumika sana kwa sasa:-
toleo la Iringa -hii inanunuliwa sana na walokole pamoja na walutheri...
swali nzuri sana ila unaweza usieleweke lakini mara nyingi kijana anahitaji kuoa kati ya miaka 27-32 ili anapofikisha miaka 35 ameanza kukomaa katika kupambana na changamoto familia.
mhn! ukivuka miaka 40 ni kazi kwelikweli ni bora ubahatishe haohao single mama vinginevyo hivi vitoto unahitaji kuwa kama rais wa Russia. ukibisha jiandae kusoma masomo ya kujitolea bila cheti (postgraduate in clinical officer specialized in sugar,pressure na vidonda vya tumbo) kwa kuwa hakuna...
we! angekuwa bibi yangu usingenikuta huku bata wangepata shida sana! natafuta nini huku kuchakutwa kumsimanga na kumpa sifa asizostahili karibia mtamlaumu kwa joto na kumpongeza kwa mvua zinazonyesha?
kwa siku ya leo huu unaweza kuwa uzi bora zaidi unaoweza kujibu maswali mengi kuliko nyingine zote japo wachangiaji wanakuwa wachache japo michango yao ni ya maana sana mahali hapa
walioanzisha wimbo wanajua beti zake tabu waitikiaji hawajui kinachofuata wao kuitikia tu na wala hawako makini cha mwimbishaji beti zake kapanga nini.
hebu m
Hebu mwacheni bibi wa watu apumzike sukari, umeme na dola vinamtosha mkienda sana mtauliza anavaa ushingi wa shngapi. wanasiasa wasituchanganye.
kuna watu wana saa za mil7 ambazo hazilingani na maisha yao lakini siku zinakwenda.
aisee kwa hili bora niwe kiazi naweza faa kwa chips au kiungo cha mboga nyumbani bado mahitaji yangu yaweza kuwa makubwa.
acha hasira na matokeo yake unawaza kimaskini kwa kila kitu kumbuka huyu ni mke wa mfanyabiashara na rais wa nchi hiyo hela ni kitu gani kwake? unajua akienda nje analipwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.