Tundu Lisu kiukweli anadhalilisha taaluma ya sheria. Anatumiwa na wenye taasis (Mbowe na Slaa) kama zuzu tu. Tamaa ya pesa ndo inamuongoza Lisu.
Mungu ibariki chadema, ila kamati kuu mmefanya makosa makubwa sana.
Moja ya maamuzi ya kikao cha kamati kuu ya chadema, pamoja na kuwafuta uongozi ZZK, Dk Kitila na Mwigamba, ni uteuzi wa Tundu Lisu kuwa mwanasheria wa chama, nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Mabere Marando!
Kuna tetesi kuwa Tundu lisu ameteuliwa rasmi ili kumshughulikia Zitto na hii imetokana...
Mara nyingi viongozi wanapokuwa jukwaani kuongea na umma huanza kwa salaam. Ili waweze kuwasalimu watu wote, hupenda kusema ASALAM ALAYKUM na BWANA YESU ASIFIWE! Salam hizi hutolewa kwa pamoja.
Napenda kushauri namna hii ya kusalimu umma ikome mara moja. Tafuteni salaam moja tu...
Serikali imeyafungia kwa muda magazeti ya Mwananchi na Mtanzania kwa kuandika habari za uchochezi.
Binafsi napongeza sana hatua hii kwani vyombo vya habari nchi vimezidi kuandika habari za uchochezi na zisizokuwa na ushahidi.
Mapama mwaka huu serikali ilivifunga vituo 2 vya redio; RADIO...
Ni dhahiri kabisa kuwa CCM kilikuwa chama makini sana hasa wakati wa uongozi wa Mwalimu Nyerere. CCM kilikuwa chama kinachohubiri kwa vitendo juu ya maadili ya viongozi wa umma na viongozi walikuwa wanawatumikia wananchi, wakulima na wafanyakazi, kweli kweli kwa kutumia siasa yake ya ujamaa na...
Zoezi linaloendelea nchini, la kuwakamata na kuwafukuza nchi wahamiaji haramu, limenifanya nifikiri juu ya ufanisi na hata uhalali wa idara hii nchini.
Taarifa zinaonyesha idadi kubwa ya wahamiaji haramu waliokamatwa katika msako unaondelea. Hili limenifanya ni hoji uhalali wa kuendelea kuwa na...
Acha kukariri kaka/dada! Hivi unadhani vivungu, bunduki nk za polisi ni za kupakia rangi? Mbona hawa wanaharakati uchwara hawajashtaki polisi kumiliki silaha?
Tatizo lenu wenye akili ndogo hamuelewi tofauti ya kupiga na kupiga unreasonably!
Wote wamekurupuka, wanavizia 2015. Siku hizi ukitaka kuungwa mkono basi pinga au kosoa serikali, CCM au kiongozi wa serikali hapo utaonekana wa maaana hata kama ni unaongea upuuzi!
Tuacheni kufikiria kirahisi rahisi na kwa kuendeshwa na hisia, hili ni suala la kisheria.
Polisi wanapomkamata mhalifu (with or without warranty), kama mtuhumiwa haresist hakuna nguvu inayotumika
Kama mtuhumiwa ataresist, police hutumia nguvu kulingana na nguvu ya resistance
Kuna wakati...
Nimesikia kuwa LHRC na baadhi ya wanasheria wamefungua kesi dhidi ya Mh Waziri mkuu kwa kauli aliyoitoa bungeni ya kuruhusu polisi kupiga wakaidi wa sheria za nchi.
Kiukweli LHRC nilikuwa na imani nao sana lkn kwa hili niseme tu kwamba mnajidhalilisha wenyewe na taaluma zenu kama wanasheria...
Tar 26/7 rais Kikwete anatembelea wilaya ya Ngara ikiwa ni sehemu ya ziara yake katika mkoa wa Kagera. Kwa mujibu wa taarifa za tume ya taifa ya uchaguzi, Ngara ni jimbo lilioongoza kwa kupiga kura nyingi za urais kwa JK na CCM yake.
Hata hivyo, pamoja na mambo mengine, waoanchi wa Ngara...
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani na viongozi wake wanajitahidi kusana kuzunguka nchi nzima kufanya harakati mbalimbali za kisiasa kama chama cha upinzani kwa maana ya kujaribu kukosoa na kukejeli hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kupitia chama tawala cha mapinduzi (CCM). Harakati...
Wakati ambapo ni dhahiri CHADEMA kimedhamiria kuharibu amani na utulivu, ambavyotumekuwa tukijivunia tangu historia ya nchi hii na kupigiwa mfano kwa nchi jirani, chama cha mapinduzi (CCM) kimesema daima kitahubiri amani na mshikamano wa watanzania.
"Kulazimisha kuingia madarakani kwa...
Wakati ambapo ni dhahiri CHADEMA kimedhamiria kuharibu amani na utulivu, ambavyotumekuwa tukijivunia tangu historia ya nchi hii na kupigiwa mfano kwa nchi jirani, chama cha mapinduzi (CCM) kimesema daima kitahubiri amani na mshikamano wa watanzania.
"Kulazimisha kuingia madarakani kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.