Hao akina lema ni wanaharakati maana Kila mbunge ana eneo lake akaongee kwenye jimbo lake aache usanii wakati huu ni wa kuwatumikia
Wananchi na sio wakati wa kufanya brabra umekwisha chadema acheni usanii fanyeni kazi.
Mnasema msiyo yajua madiwani hawana uwezo wa kuzuia marupurupu ya watendaji. Kwa kuwa hakuna hata documenty moja inayo sainiwa iwe ni diwani au meyer msizungumze habari za mitaani
We mjaruo usikurupuke na mambo usiyo yajua kipindi cha nyerere watu walipata shida sana walihamishwa kutoka katika vijijisikie vyao na kupelekwa katika maporight na wengine waliwa na wanyama wakali kama simba nk. Hata wakati anashika madaraka mwinyi alikuta wanainchi wanavaa viroba Sasa huo...
Huyo dr. Aliyetimuliwa kanisani kama alishindwa kuwa mwaminifu kwa mungu unategemea atakuwa mtu wa kuaaminika Huyo ni tapeli wa Siasa chadema wanachoweza wao ni kucheza disco
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.