tiss is a professional entity. wanaoperate kwa sakafa zao kulingana na wakati na mazingira na hata mazingara. anyway ni kitengo muhimu katika kutafuta mema hata mabaya. history is here to tell.
Kodi ni kukusanya kihalali na kutumia pia kihalali
kukusanya kihalali na kutumika kihalali. kwa mfano katika majiji kama vile Cardiff wanakimbizana na kila mfanyabiashara alipe. lakini hiyo hela inatumika tu kwa maslahi ya jiji laCardiff nakwa maendeleo ya jiji hilo. hebu na tufikie huko siku moja.
msichoke kujielimusha muundo wataifa lenu tz. najithidini kusoma katiba za jmt na znz. kwa mfano tu Shamsi Nahoda ni mbunge wa Mpendae na ameshaapishwa halkadhalika Saada Mkuya wa Welezo na Hussein Mwinyi. Wapo wabunge wengi tu vijana na wasomi kutoka majimbo ya znz ambao Tatar I wameshaapa Kule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.