Huyu Bwana TARA ni choka mbaya.amewadanganya wananchi wake kuwa atashinda kesi matokeo yake ni kupigwa chini kila akienda mahakamani.wananchi wamemchangia mpaka wamechoka.anadhani akibadilisha Chama atazaliwa upya?wajinga ndo waliwao.!!!
Nakubaliana na ushauri wako mkuu,faida za habbat soda ni nyingi mno.mimi sio Mwislam lakini Mtume Mohhamed alivumbua kitu ya maana sana.ukichanganya Hsoda,Mafuta ya Ubuyu na asali safi matokeo yake utayaona baada ya mwezi mmoja tu.kama wewe ni mtu mzima mwili wako unarudi fiti kama kijana wa...
Pamoja na nguvu yako ya hoja uliyoijenga hapa,bado hawa jamaa wa M4C na mashabiki wao watakuja na hoja za nguvu wakidhania cku hizi bado watanzania hawana upeo wa kuelewa.wameshastukiwa hawa jamaa.Automatically they have switched themselves to M4D(movement for DEATH)without there...
Mimi nashindwa kuelewa,hivi mahakama hii itawahusu wanaume wa Kiislam tu au ni pamoja na wanawake wa Kiislam? nauliza hivi kwa sababu sijasikia hata siku moja ametokea mwanmke wa Kiislam kuunga mkono hii mahakama.Are they interested with this?mahakama hii itawasaidiaje wanawake wa Kiislam?au...
Hallow wana JF,naomba kujuzwa kwa wale wenye uzoefu ktk uwanja huu wa mapenzi,wawe wadada au wakaka,eti ni kweli wanawake waenjoy zaidi wanapokuwa kwenye malavidavi kuliko wakaka?maana wapo wanaopiga kelele mwanzo mwisho ukiacha wale ambao wako kibiashara zaidi.Kwamba wao (wadada)wana aslimia...
Mtu yeyote muungwana na mwenye upeo wa kisomi atakubaliana nami kwamba ubobezi katika kujenga hoja unatawaliwa na utulivu wa kifikra na wala sio jazba. Jazba ni matokeo ya kukurupuka kutokana na kutokuwa na hoja ya uhakika. huko ni kujilinda dhidi ya mashambulizi ya nguvu ya hoja,hawa mashabiki...
Nawashangaa wanaomshambulia KIBANDA!! Mbona anapoandika makala nyingine za kuiponda CCM hata kama sio za kweli mnamuunga mkono?Naona imewagusa sana wale wasioitakia mema nchi hii.waliozoea kuandamana kwa kupewa ujira wa viroba bila kujua wanaharibu afya zao,na wanaweza wasifike 2015 kwa sababu...
kulikuwa na mabasi ya "SIRI YAKO"Dodoma-Dar, yanamilikiwa na mwanamke.sijui kwa nini aliyapa hilo jina!au aliyapata kutokana na uchumi wake aliokuwa ameukalia,.a.k.a O713!!!
Yeye Wasira alipomchukua mke wa marehemu mzee Ndege aliona fresh.Hao watoto wa ndugu yake kuchukuliwa anaona noma.Mkuu wa nchi alishasema '"KULA ULIWE"!!! sasa iko mbaya gani??!wanafuata ruzuku ya CDM hao,yaani wako kibiashara zaid!!
Mahakama ya Rufaa imetupilia mbali maombi ya aliyekuwa mgombea wa Ubunge jimbo la BABATI VIJIJINI kwa tiketi ya NCCR MAGEUZI Bwana TARA na kuthibitisha ushindi wa mhe. JITU SONI aliyeshinda kiti hicho kwa tiketi ya CCM.
Habari kamili soma magazeti ya kesho,au taarifa za vyombo vingine vya habari.
hey!hii inanikumbusha enzi zile za biashara haramu ya pembe za ndovu na yale malori ya FIAT!maeneo ya NZEGA na IGUNGA!Nadhani hao Babu zake walikuwa ndo wenyewe.Ilikuwa si mchezo.Jamaa hawa walikuwa wanasafirisha pembe huku jamaa amekaa na SMG hapo mbele kuona kama kuna mtu yeyote atakayezuia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.