pamoja na maneno yote vijana tujiandae kupiga kura ili tuwe sehemu ya mabadiliko kuiondoa ccm madaraka na kuwaweka ukawa. Baada ya miaka mitano na wao tunawacheki.
Watanzania tulitaka kujua nani hasa alikuwa nyuma ya Richmond na sasa tumejua ni mkuu wa nchi alizuia Lowasa kuu-vunja ule mkataba. Sasa unachotaka nini kingine? Ukichukulia Mhusika mwenyewe hajakanusha.Tumia akili.
Kwa CCM kile kile bila shaka Magufuli hawezi kumsogelea hata kwa mbali matumaini ya maisha bora kwa kila mtanzania tuliyokuwa nayo kwa Jakaya Kikwete. Kwa mtu yeyote wa kileo mwenye upeo bila shaka atafikilia mabadiliko na si vinginevyo. Nayo ni kubadili mfumo mzima wa utawala kwa kupigia kura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.