hallo jf, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 naishi mwanza natafuta binti wa kuoa mwenye sifa hizi mrefu wastani,maji ya kunde,asiwe mnene sana,mcha mungu.na awe anafanya kazi.kama yupo mwenye sifa hizi naomba ajitokeze.
salaam wana JF mim ni kijana mwenye umri wa miaka 26 natafuta binti wa kuoa mwenye sifa zifuatazo, awe na umri wa miaka 20-25,rangi maji ya kunde,asiwe mfupi sana wala mrefu sana,asiwe mnene sana,elim kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe anafanya kazi,kama yupo ajitokeze'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.