Kuingia na radio inaboa kinyama ,,goli bado halijaingia mfano penalt ndo inaenda kupigwa utasikia jamaa mwenye redio anasema ""amekosa"" uwa nataman nimpasue mtu kichwa [emoji3][emoji3]
Salaam alekyum wana JF.
Nina tatizo kwenye kujaza form za bodi ya mkopo kila nikiingiza namba ya shule ya Jikomboe Secondary 4535 inasema NO SCHOOL FOUND WITH THIS NUMBER ,,nimejaribu kuwapigia help desk bodi ya mkopo lakin hawapatikan namba zao zote ,,nahitaji ushauri wenu wa JF niconfirm ivo...
Natafuta chumba sebule self container au yenye choo cha nje lakini cha kujitegemea maeneo ya Mbezi mwisho yaan walking distance to Mbezi terminal lakn kama kipo cha njia ya Goba road nipo tayari kulipia na kuhamia kesho..Bajeti yangu ni elfu 80 hadi laki Moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwandishi anajaribu kutuaminisha uongo anajiexpand ili tubuild trust chek pale ameandika sept 11 alikuwa Sudan ili atuteke kifikra lakin ukijaribu kuisoma kiintellijensia hakuna kipya alichokiandika since part one anaandika vitu vinavyofikrika tu ,part one alijaribu kunishawishi lakin hii lakn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.