Me sijaelewa wadau kwani kama wamesema wanahitaji vijana wa form six katika barua yangu ya maombi nikiweka wazi kuwa labda pia nina degree au dploma ya taaluma flani nakosea?? Jibu tafadhali.
Ni kitambo kidogo kimepita tangu idara ya uhamiaji kutoa tangazo la nafasi ya kazi ya ukoplo wa uhamiaji kupitia gazeti la mwananchi.nilituma maombi lakini bado sijafahamu kuwa majibu watatuma katika anwani niliyotumia au watatangaza tena.kwani katika tovuti yao ya Welcome to the Official...
wana jf shukrani kwenu nimepata jibu.siku zote fanya kitu huku ukitambua kuwa matokeo yake ni nini au lengo lake ni nini pia too much is harmfull,bila kusahau ushauri wa daktari/kiafya ni muhimu.
kwanza kabisa heshima zenu wana jf.mimi naomba kusaidiwa juu ya jambo hili,kuna madhara gani endapo mtu atakuwa akinyanyua vitu vizito(vyuma)?natanguliza shukurani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.