Kutokana na yaliyojiri juzi mji mdogo wa Tunduma, polisi walimshikilia Diwani Frank Mwakajoka wa Chadema tangu saa 3 asubuhi. Ajabu ni kwamba yaliyotokea juzi ni mgogoro wa kuchinja kati ya Wakristo na waislamu. Diwani aliyekuwa na kikao shule ya sekondari mpakani aliambiwa kuhusu yaliyokuwa...
Nimesoma na David Ernest Silinde mbunge wa mbozi magharibi na mdogo wangu ki-umri
Hivi majuzi nimezungumza na mwananchi mmoja na akanieleza yafuatayo kuhusu Silinde.
1. Hahudhurii vikao vingi vya halmashauri ya wilaya
2. hahudhurii/amehudhuria kikao kimoja tu cha baraza la mamlaka ya mji mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.