Hiii ndo ushahidi kua wabongo bado tupo mbali saana katika kutafakari mambo huyu jamaa hajui kabisa analo changia na madhara yake.Angalia madhara ya Rushwa ndogo ndogo kama kanga, Tshirt na sherehe kubwa ambazo kipindi hicho ziliitwa TAKRIMA na kubalikiwa na viongoz umezaa vingozi mafisadi coz...
mawili ww una matatizo una joto saana mwenzio akiingia ashamaliza au akiingia kwako hamu yake inaisha ghafla au yy mwenyewe ana papara lakini pia wanaume wengi kwa kuanzia hawachukui dakika ila akirudia raundi unakoma nae so yawezekena ww huna mbinu za kumfanya mwenzio arudi tena unaishia...
Ok naungana na wale waliopendekeza tutoe hoja si kwa jazba na maneno makali ya kuvunja utanzania wetu mimi nina swali naomba mnijibu kama mnajua OIC haina faida kama mlivyoeleza mbona mlitumia nguvu kubwa akiwemo mzee Nyerere kupinga tusijiungeee? Mpaka sasa mzee malichela analo kua hakumshauri...
yes kwa kiasi fulani tumeanza kwenda pamoja mengine yanahitaji kuelimshana tu mfano ni Rahisi kwa mkristo kujigeuza mwislaamu kwa muda (aka act kama alivyofanya Mzee wetu kwani kwa imani yenu haina shida ingawa kwa imani yetu tunamuita mtu huyo mnafiki na kwa imani yetu mtu huyo akifa bila...
OK OK OK ndo maana nikashauri kua tuongelee namna ya kwenda mbele kama wa Tanzania lakini tukianza kuulizana yaliyotokea nyuma tutajenga jamii isiyo faa nasisitiza hali ya waislam waliyonayo ni ya kusababishiwa. walioanzisha harakati za kudai uhuru ni waislaam.wole wote ambao historia yao...
kama sijakosea kwa Idara za usalama habari ya kujiuzulu au kug"atuka haipo kwa mujibu wa taratibu zao za kazi ila akipewa mission akaitekeleza vibaya anahukumiwa na mahakama so kamuhanda achunguzwe mission aliyopewa ilikua kuua? kama ilikua bahati mbaya anahunkumwa kwa uzembe nadhan (sins...
WEWE kaka yangu sikiliza maana mojawapo ya uislamu ni kusalimu amri hii ina maana kua maisha yetu yooote tumeyasalimu kwa mungu wetu ina maana tangu kuzaliwa mpaka kufa kwetu lazima tuishi kama mungu anavyotaka ikiwemo kuhukumu namna mungu alivyo agiza hizo sharia za kanisa ulizo seama (canon...
ok kaka ninachoweza kukushauri wewe na wa Tanzania kwa ujumla ni kua tujadili namna bora ya kuwafanya waislamu na wakristo kuishi pamoja kwa maelewano kwa sababu kilichopelekea hayo mlojadili kinaeleweka tangu enzi za Uhuru nyie mlilelewa mkaandaliwa mazingira sasa tukijazana kejeli na dharau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.