Kwa mahali tulipo tulitakiwa kuwa na mradi wa namna hii kabisa hasa ukizingatia sisi ni hub ya East¢ral Africa sema utekelezaji wake haujafanywa kwa usahihi na watu sahihi ndio maana mradi umegeuka kuwa laana nadhani hata ukikamilika utakuwa na mapungufu mengi na majuto mengi
Kuna njia...
Still you escape the fact mnaendeleza vijembe vilevile hatutibu tunazidi kubomoa raisi kapata narrow picture ya wananchi anao waongoza na kilichopandwa na yeye kwa chuki zake
Ufanunuzi kidogo ndugu yangu nimekuta mohali wanasema hizi ndege nichakavu sana na nizamuda mrefu hata service ni nadra kwamba rubani akiingia huko akaona GPS inasoma kinakurupuliwa chombo na ina injini moja tu
Umeongea kiume mwanangu,hata mimi nilimwambia wife kama huta niheshimu mimi waheshimu watoto wako,hiyo nijuu yake akitoka nje kupigwa miti niyeye siku nayo jua ndio tamati muda wakuwindana sina aisee
Long time wazee wetu walikuwa na vitanda viwili pale mama anapojifungua hulala na Mtoto, wakitaka mchezo wanashtuana,. Mimi nilishapigwa kibao cha kalio na Dogo akiwa na mwaka mmoja hapo nimepanda nishajikunja kama beberu la mbegu, kumbe kajamaa kameahtuka sijui kalijua na uwa mamake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.