Hili suala linahitaji umakini sana. Kwanza nini lengo la hao wanaotaka kubadillisha Sheria hiyo ya ndoa ya Mwaka 1971. Kwa sasababu hizi taasisi za kijamii siku hizi zina malengo mengi sana, likiwemo la kueneza ushoga nchini mwetu. Sasa isije wakaja tena na sheria ya kutaka wanaume waowane wao...
Hili suala linahitaji umakini sana. Kwanza nini lengo la hao wanaotaka kubadillisha Sheria hiyo ya ndoa ya Mwaka 1971. Kwa sasababu hizi taasisi za kijamii siku hizi zina malengo mengi sana, likiwemo la kueneza ushoga nchini mwetu. Sasa isije wakaja tena na sheria ya kutaka wanaume waowane...
Mkuu Hii ndio maana yangu hasa lakini Hawa vijana wenye Dhamana wanajidai hawaelewi hapo, Nadhani kwa vile tupo kwenye uchaguzi tunafikishia taarifa Mh. Tundu Lissu na Mh. Benard Membe atutetee.
Mkuu GIRITA nakushukuru sana kwa kunielewa. Tatizo sio kukagua, bali KERO haKa ni kushusha habiria kila siku iendayo kwa Mungu. Kwanini wasikagulie ndani ya Gari? Hicho ndio kinachotukera kutushusha wakati watu tuna stress zetu kibao halafu na wao wanatuongezea stress.
Hiyo ndio hali alisi kabisa kila ninapo angalia TVs na Ninapo soma Magazeti. Kwa kweli hii hali inasikitisha kwa Tasnia ya Habari nchini karne hii ya 21. NI AIBU!
Apite kwenda wapi? Hapo alipofika panatosha. Sio watumishi wa Umma peke yao. Kila mtu analia kivyake. UCHAGUZI HURU NA HAKI UNGETUWEKA HURU. Ila kila lenye Mwanzo linamwisho wake. Nakumbuka zama za Ukoloni ziliondolewa kwa Kuamua kuweka woga Pembeni.
Mfano wako naukubali Mkuu. Lakini sio kila . Hapo maanake kuna watu hawafanyi kazi zao vizuri. Mara nyingi sana ambushi yoyote hutegemea na taarifa nzuri za kiinteligensia.
Hivi kweli wewa ukiwa Mhamiaji Haramu au una biashara haramu utathubutu kupitia Check Points, hili mbona haliniingii akililini. Kwa ambao wana experience hii adha.
Hii ni kero ya muda sasa katika Check Point ya Vijinga, Wilaya ya Mkinga, Mkoa wa Tanga, kwa abiria bila kujali vikongwe au wazawazito au wagonjwa wote kushuka chini wafikapo Check Point hiyo ili kukaguliwa vitambulisho vya kura au uraia. Kwa kweli mantiki yake haionikani kwani kwa mtu yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.