Tathmini inaonesha Tanzania inaongoza kuwa a nguvu kazi dhaifu na raia wajinga kusini mwa jangwa la sahara. Quality of Human capital index. Hata Malawi wanatuzidi.
Source. Mimi mwenyewe
Hiyo lugha ya "wamdhibiti" inaonesha jinsi watz tulivyo watu wa hovyo. Uchaguzi gani watu wanaona sawa kudhibitiana kwa kutumia dola na vyombo kama tume maslahi ya walio msdarakani ?
Ile namba Tanzania imeshika kwenye happiness ni halali....Huu ndio ushahidi..mtu analeta uzi anaonekana hanafuraha mgonjwa anapokula vizuri. Ni hasira au wivu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ref: FTO1903150811XXXXXXXX You have successfully sent TZS 150000 from AC 01522XXXXXXX to 01J2043045300-TUNDU ANTIPHAS LISSU.
15-03-2019 08:11:09
HATUKATISHWI TAMAA NA WASHIRIKINA KAMA NYIE...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu
kuna faida nyingi kuwa na subira kuheshimu maamuzi binafsi ya watu.
Hiki ndicho kupindi kugumu kabisa kuwahi kutokea kwa opposition na si watu wote wana ngozi ngumu sawa na wengine kuhimili masaibu hayo. Wengine wanafuta easy way ya usalama binafsi, familia zao na mali zao.
Ni hayo...
Mtu unayeweza kuamrisha arudi nyumbani ni kale kabinti kako ka primary school. Sababu hata huyo akikua akafika form six akisema anaenda tuition baada ya kutoka shule inabidi wewe utafute sababu za msingi kumzuia. Akifika chuo.ndio kabisaa anaweza kukuambia naenda club kabisa na ukabaki kimya...
Ni suala la kutafakari sana hasa Mgogo alikuwa na nia gani alipotumia ukumbi wa Bunge kutangaza kitu ambacho alijua si cha ajabu. Mshahara wa mtu ni habari? Sina maelezo zaidi ila nami nimeona nuanzishe tu thread.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kwa sehemu kubwa. Ila niongeze hili: Kwa upande wa mwajiri michango kwa mifuko hiyo inakuwa accounted kama cost of labor yaani wanapogiga hesabu ya gharama za mishahara 20% yote ni part of the salary. So ni sahihi kusema kuwa 20% yote ni mali ya mfanyakazi. Mifuko ni castodian tu...
Hapa yale macho makali yanayotafuta wachochezi hayataona kitu kama kuna mtu ana kesi ya kujibu kweli?...
Aaagh...! Nilisahau kumbe hii ni Tanzania. Wengine kama malaika na wengina kama mashetani......!
Na hilo ndio hasa linaweza kuwa tatizo. Sifa kujulikana sana inafaa kuendane na matendo na mafanikio ya kiuchumi na kiuongozi.
Tusije geuka world's laughing stock
Asingeongea maneno yenye chembechembe za ukweli leo tungee asubuhi Star TV usinge leta taarifa hii na uzi huu usingekuwepo.
Au ndio wale vijana wa chama aliosema Ole Sendeka?
Msukuma alipomshambulia Lowasa it was okay. Leo kuiambia ukweli tena kidogo serikali yake amegeukwa na anaokekana mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.