Hadhi ya bunge ni wabunge wenye kujua taratibu za bunge,spika akiyumba anapewa ukweli wake atake asitake.Wabunge wa CDM ni smart sana hakubali kuburuzwa.
Tafuta kampuni ya wapimaji ardhi binafsi wakupe ushauri nini cha kufanya ili uweze kumiliki eneo km shamba au viwanja tena ufanye mapema watu wa mansipaa sio wema.
Raia ana haki ya kujua kwa nini amekamatwa na mambo mengine ya muhim,isipokuwa polisi wanatumia mabavu zaidi kuliko busara hili ndio tatizo lao kubwa.Jambo la kufanya ni kuwatoa kwenye vyombo vya habari kila siku mpaka wabadilike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.