Hapa unaposema unatamani kulia ndio shida inapofufua shida nyingine maana binadamu hawezi tamani kulia hovyohovyo hasa kwa mtu mzima mpaka aseme anatamani kulia
Napata hisia mbaya uyu raisi akimaliza muda wake yatatokea makesi mengi sana ya kudai fidia na kesi nyingi serikali itaangukia pua na itashindwa kulipa kwa yale madeni makubwa sana mwisho wa siku ni makubaliano katika mikataba fulani ata kama ni ya kinyonyaji lakini zitatumika rasilimali zetu...
UTI ya bacteria infections ni chache sana tena sanaa..kuna baaz ya mitambo ya kupimia UTI mwisho wa kuona ni michubuko ktk njia ya mkojo sasa tatizo linaanzia je hiyo michubuko imesababishwa na bacteria au ni nini? Na madokta wengi wao wakishaona michubuko wanaandika UTI na wana assume ni...
Unajua alikua wapi? Yaani jiulize mkoa upo hivi meneja wa kanda na hr wake, meneja wa mkoa na hr wake, meneja wa wilaya na hr wake, security officer wa mkoa...yaani hawa wote hawakuwepo yaani hapakuwepo mtu wa tanesco kabisa wote hawa walikua wapi. Labda meneja ana mwezi sasa hayupo nchini yupo...
Ushasema wanaenda kupima ukimwi na wanaambiwa hawana lakini wanarudi tena kupima ukimwi, wewe nawe unauliza wanataka nini yaani umeshindwa ata hesabu hiyo ya + na - yaani hasi na chanya?
Wanautafuta ukimwi ndio maana kila wakipima wakiambiwa hawana lazima warudi tena na tena
Ngaunje
Kujua tu kuwa unabarikiwa tayari una Mungu, unaweza ukahisi hauendi kaniwani/msikitini lakini kumbe unaenda kiimani kwa matendo yako hivyo endelea kujua kuwa unabarikiwa muda unafika utajumuika msikitini/kanisani kimwili
Ngaunje
Kwanza naomba kujua aliyeruhusu ulevi uuzwe nusu bei badala ya kuruhusu unga wa kupikia ugali uuzwe nusu bei ni nani? Je mahusiano yapoje kati ya aliyeamrisha ulev uuzwe nusu bei na alielewa kwa sababu ya ulevi wa nusu bei? Mtu wa hovyo anafananaje?
Ngaunje
Komando yeyote anaweza fanya kazi zote za kijasusi lakini si kila jasusi ni komando na si kila jasusi anaweza fanyakazi za kikomando. Komando anaenda mbali sana yaani ukomchukua komando ukataka awe jasusi unachomuongezea ni ujanja na usiasa yaani awe flexible na jamii basi kwa sababu mbinu zote...
Duh! Ulishawahi kuajiriwa kwenye taasisi za uma au serikali kuu? Mtu akiumwa inakuaje anafutiwa mshahara au anafukuzwa kazi? Akipata ajali kazini inakuaje?
Ngaunje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.