Afafanue vzur apa.Maana kama muda wako wote wa kaz umewekeza kwenye hyo biashara,afu mwsho wa cku unambie kuwa familia ictegemee kwenye hyo biashara.Hyo biashara ndyo umeifungua kwa ajili ya nini sasa?
Hivi karibuni kumekuwa wimbi la ongezeko la kampuni zinazokopesha hela mtandaoni.Na wengi wamekuwa wakikopa pasipo kujua uhalali wa hizi kampuni,na wengine kuzilalamikia kuwatoka riba kubwa sana.
Nimekuja kwenu wadau,kupata ushauri.Kuna ndugu yangu wa karibu alikopa huko.Sasa umefika wakati wa...
Kaka mwita habar.Asante sana kwa shule nzuri hii.
#Samahan naweza kuyapata haya material kwenye "pdf file" au kitabu chake.Naomba untumie kwa watsap 0768 228 904.WhatsApp
#Natanguliza shukrani
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wajumbe samahan.Naomba kwa yeyote mwenye mawasiliano ya wakala wa Tairi za MRF 400.8 za Bajaji anitumie tafadhali.
#Natanguliza shukrani
0622 228 904/0768 228 904
Salaam jaman.
#Ninashida na Agent wa tairi za MRF za bajaji.Aliyepo dar,kwa anaejua tafadhali msaada kupata mawasiliano yake.
0768 228 904/0622 228 904.WhatsApp/Call
Wadau kama kichwa kinavo jieleza apo juu.Ivi ni mchongo gan mtu unaweza wekeza kwa kutumia knowledge tu.Na ukawa unakutengenezea pesa bila ata kuhitaji kias kingi cha pesa kama mtaji.Au pacwepo na hela yoyoteya kuwekeza kama mtaji.
#Mazingira niliyopo ni ya mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.