Wewe mwenyewe unataka mgao, ungepewa usingesema sio? wewe mwenyewe ni mtuhumiwa unatakiwa uchunguzwe! duuuu! Usilete kashifa kwa watu ambao innocent na sababu zako za kisiasa, baba hakuna mseleleko siku hizi, hata hao unaowahisi ni siasa zako tu zinakuzingua!
Ni kweli kabisa, mi kila nikienda naambiwa wataweka kwenye mtandao, kila siku nachek kwenye mtandao wao ila nakuta majanga! sasa sijua kama kuna mtandao mwingine wanautumia au la!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.