Hata aibu hawana wangalie ugali maharage wali mchicha akili za kushikiwa kazi kubambikia tu mngejua mmavyochukiwa na vibanda vyenu rohobaya wafuga bata waone vile
Tulijua tu wanatafuta sababu mwenye macho haambiwi tazama fumbo mfumbe mjinga mwerevu hugundua wamenichefua mie watu fitina uongo uzushi na uchu wa madaraka hakuna aishie milele yatajulikana
Swala hapa ni kujua mapemzi na kanuni zake na mizungu kama hujui hata upate mwembamba mnene aliyefungashia kama wewe mwanaume hujui kusoma tabia na mabsdiliko ya kihisia za wanawake utaishia hvyohvyo mara mwembamba nfo bomba mara mnene kumbe tatizo ni wewe mwanaume bora ni yule ajuaye kucheza na...
Mhmm kudonfoka ma bf ndo dhambi basi mavuno yatakuja tanzania yote me naona poa wadondoke nao tu wapeane mahaba ksma wanajua mizungu tina mizungu ya kifrica siye msondo ndindi zimo wasipotezeana mda bure ufundi wahitajika kwenye mahaba na usafi je wako njema ili wafaidi iheee apo sasa
Si urojo wanapata wanachokihitaji jamani wanavua ustar kule wansingia ulimwengu mwingine eti urojo mambo ya nafsi hayo jamani yanahitaji mjuzi burudani iheeee upo
Ni mapenzi jamani bongo flever wanavutia kwanza wengi wako singo wanajiamini na malovee wanayajua swaga zao lazima madada du wa bongo movie wadondoke nao sana si swala la mkwanja jamani ni malovie dovi tu wamajua so kazi kwao na watazidi kudondoka nao ndani ya six by six upo hapo brovie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.