Ina maana sisi wananchi wa kawaida ni halali kupigwa mabomu??????Hata kama waandishi watakuwa na uniform,bado polisi hawatakiwi kutumia nguvu kubwa katika kutuliza vurugu. Kama wana hamu ya vita si waende malawi wakakomboe ziwa tunalogombania..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.