Huyo ni mumeo nakushauri uache kutangaza madhaifu yake hata wewe unayo kama ya kutoridhika na penzi lake.Hivyo angalia utakuwa wa kuonjwa na kuachwa tu
Kwa maana hiyo kutakuwa na ratiba tofauti za uchaguzi maana Rais wa Zanzibar muda wake utaanza pale tu atakapoapishwa.Kwa jinsi hiyo kuna na uchaguzi wa JMT na kisha wa Tanzania visiwani
Hapo umenena maana kwenye hatua ya usafirishaji kuna lolote hata kwa kupoteza karatasi za aliyeshinda pamoja na kukubali wajumulishe toka katika fomu ambazo anazo mashaka.Aone mfano kwa Mdee na Mnyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.