Chadema achana kabisa na wanaCCM.Chukua the youngs,energetic,the (Mnyika,Silinde,Zitto,Lema,Sugu,Halima Mdee etc)likes.Nchi tunataka ichukuliwe na vijana wakiongozwa Dr Slaa-2015 siyo mbali.Vijana wa CCM wamelewa utajiri wa kifisadi wa wazazi wao.Achana nao kabisa.
Waislam,mmejaa unafiki sana kwa sababu mnachokihubiri tofauti na mnachokitenda.Mnatumia dhana ya kuvumiliana,suala hilo kwenye imani halipo.Tuwavumilie waislamu kuua wachungaji wetu,tuwavulie waislamu kuchoma makanisa yetu,tuwavumilie waislamu kutulisha ibada zenu za kuchinja wanyama.Mungu wenu...
Zaidi ya 94% ya watoto wetu waliomaliza kidatu cha nne mwaka 2012,wameshindwa au hawajapata alama ambazo zitawezesha kuendelea na masomo ya juu.Hawa ni watoto wa walalahoi ambao hawana uwezo wa kuwapeleka watoto wao kwenye shule za kulipia ada kubwa.Huu ni mkakati uliotengenezwa na wanasisa wetu...
Hatujawahi kusikia misikiti imechomwa moto,au shehe/kiongozi wa kiislam ameuliwa,viongozi wa nchi ambao 90% ni waislam wamekaa kimya.Kwa nini Wakristo wasiamini kuwa waratibu wakubwa wa mpango huu wa kuchoma moto makanisa,kuwaua wachunga na mapadri ni viongozi tokea Rais na wasaidizi wake ila...
​Mtoto wa mkulima waziri mkuu MIZENGO PINDA ameishiwa cha kuwambia Watanzania.Anataka tuishi kwa mazoea hata kama mazoea hayo hayana tija kwa wakati huu.Tumekupata vizuri mheshimiwa.
CCM imeishiwa cha kuwambia Watanzania ndio maana wameng'ang'ana na hoja za ukabila,udini badala ya kutoa sababu za kwa nini wanaitangaza Tanzania kama nchi maskini wakati nchi ni tajiri sana.Ina ardhi nzuri kwa kilimo cha mazao yote,ina bahari,maziwa makubwa na magogo na mito yenye samaki wa...
Kwa nini Nyerere aliruhusu Watusi waingie nchini kiholela namna hiyo?Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo tokea ipate uhuru imeingiza mamilioni ya wageni na hasa hao Watusi.
Ni kweli tunamuenzi Nyerere lakini kwa hili yeye amehusika kuuratibu mpango huu wa Watusi kuitawala Afrka...
Tofauti yao ni kuwa Ndugu yetu Saeed Kubenea hupigania haki za wazalendo wanaodhulumiwa haki zao wakati mheshimiwa Kikwete analinda masilahi ya mafisadi wanaoihujumu na kuihujumu nchi na yeye mwenyewe akijumuika kujilimbikizia mali kwa njia mbalimbali.Hivyo kwenda hospitali kumjulia hali Kubenea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.