Sasa hapo iko hvi,kwanza kama unataka kubadili chuo unaomba nafasi ambayo unahitaj kwenye chuo husika,wakisha kukubalia ndo unakuja kwenye chuo ambacho upo kutoa taarifa kuwa unahama chuo.
lakin pia kuna suala la MKOPO sasa kama umepangia chuo inamaana na mkopo wako utaelekezwa kwenye chuo...
Tume ya vyuo vikuu Tanzania maarufu TCU,imethibisha kuwepo kwa majina ya 1st selection ambayo hayajafika vyuoni mpaka sasa.
Kwa wale wenzangu ambao wanatatizo kama hili,tumeambiwa tusubir tusiwe na wasiwasi maana hakuna kilicho haribika,majina yatatumwa vyuoni wiki hii.mm nilikwenda mojakwamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.