Mugabe tatizo Dar
Mkutano wa Wakuu wa SADC
na Tamali Vullu
JINA la Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, ndilo lililotawala mkutano maalumu wa wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika jijini Dar es Salaam jana, ambao ulikuwa ukijadili masuala ya ulinzi na...
Mugabe aambiwe ukweli
MKUTANO wa viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), umeanza jana chini ya Uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete.
Miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kuchukua nafasi kubwa kujadiliwa katika mkutano huo, ni migogoro ya kisiasa...
Maimamu Dar wamjia juu Rais Kikwete, Mtikila
na Prisca Nsemwa
KAMATI ya Maimamu wa Kiislamu, wamewajia juu Rais Jakaya Kikwete na Mchungaji Christopher Mtikila katika masuala mawili nyeti.
Kubwa lililosababisha maimamu hao kumjia kuu Rais Kikwete ni kushindwa kwa serikali yake kuanzisha...
Message sent kwa wapelelezi
Siku zote wakazi wa Dar huyaogopa makarandiga ya Polisi yakiwa yamebeba wafungwa kutokana na mitusi ya nguvu wanayoporomosha, ila jana walikuwa wanawashangilia na kuwapungia mikono.
Mabadiliko hayo ya mioyo ni hatua ya kuwaunga mkono kwa uamuzi wao wa kugoma...
Mgomo wa mahabusi wasambaa Dar
Na Waandishi Wetu
MGOMO wa mahabusu wa kupinga kucheleweshewa kesi zao ulioanza katika Mahakama ya Kisutu juzi, umeendelea jana na kusambaa katika mahakama nyingine jijini Dar es Salaam na mjini Arusha.
Jijini Dar es Salaam, mahabusu hao waligoma kwa mara...
Mgomo wa mahabusi wasambaa Dar
Na Waandishi Wetu
MGOMO wa mahabusu wa kupinga kucheleweshewa kesi zao ulioanza katika Mahakama ya Kisutu juzi, umeendelea jana na kusambaa katika mahakama nyingine jijini Dar es Salaam na mjini Arusha.
Jijini Dar es Salaam, mahabusu hao waligoma kwa mara...
Chitalilo atamba kutesa miaka 20
na Jovin Mihambi, Sengerema
SIKU kadhaa baada ya Jeshi la Polisi kubainisha kuwa Mbunge wa Buchosa, Samwel Chitalilo, aliwadanganya wapiga kura kuhusu elimu yake, mbunge huyo ameibuka na kutamba kuwa kashfa hiyo haitamharibia.
Akizungumza...
•
Sakata la rada languruma katika Bunge la Uingereza
*Tony Blair abanwa, akwepa swali, apiga siasa
*Aikana habari iliyoandikwa na The Guardian
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Fife North East katika Bunge la Makabwela la Uingereza, Bw. Menzies Campbell (Liberal...
jamani el amekuwa mtu ambaye kweli siku zake zikifika ana majibu mengi ya kujibu watanzania.kwanza ni mla rushwa anapenda sana posho jamaa na hela yake huwa hailali nje ameshikilia vilivyo,pili hajui maadili ya kazi na urafiki ni vitu viwili tofauti.hivi mambo ya bungeni utamuhadithiaje mtu wa...
Mtanzania aliyeyatafuna mabilioni ya rada atajwa
na Mwandishi Wetu
MTANZANIA aliyepokea mamilioni ya dola za Marekani kama kamisheni ya ununuzi wa rada, ametajwa.
Taarifa iliyoandikwa na gazeti moja la jijini London, Uingereza jana, zinaeleza kuwa, Kampuni kubwa ya usambazaji...
Imetolewa mara ya mwisho: 16.01.2007 0105 EAT
•
Sakata la ununuzi wa rada Vigogo wadaiwa kuhongwa bl.12/-
Habari Zinazoshabihiana
*Zadaiwa kuingizwa kwenye akaunti zao Uswisi
*Tanzania, Uingereza zakutana kujadili rushwa
Na Mwandishi Wetu
SAKATA la kuwapo...
Moto aliouwasha Ndesamburo wasambaa
na Mwandishi Wetu
MOTO aliouwasha aliyekuwa mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Maadili, Madaraka na Haki za Bunge, Philemon Ndesamburo, umedakwa na wanasiasa, na sasa Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amejitumbukiza kwenye sakata hilo...
::Habari za Tanzania Alhamis Jan 11, 2007
*PhD yake yafumbiwa macho watakiwa uzoefu wake
*Kauli yake kuhusu Irani nayo yaibua maswali mengi
*Msemaji wa Ki-moon abanwa na ashindwa kuyajibu
Na Hassan Abbas
SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti juu ya ajenda ya siri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.