Mleta uzi kawagusa pabaya wapenzi wa barca. Na hili liwe fundisho kwa timu zote zinazocheza klabu bingwa ya ulaya.
Pia kuna sababu kama
1.Barca walikua hawana plan B tangu mechi ya kwanza. Angalia jana walivyokua wanaangaika kumtumia alves kupiga majaro wakati siyo mtindo wao kabisa...
Barca ili ifuzu kwa fainali nadhani little Mesi anatakiwa angalau apige bao 3 peke yake la sivyo wasahau. Ila kwa miaka takribani 14 hivi kama sijakosea timu zinazoingia fainali ya klabu bingwa ya ulaya na kuluzi au kushinda fainali zinakawaida ya kuingia fainali tena msimu unaofuata au hata...
1.Shule hata ikitajwa haisaidii hapa TANZANIA.
2.Watuhumiwa wakitajwa pia HAWACHUKULIWI HATUA
3.Mtoto akitajwa naye atanyanyapaliwa na wenzake.
4.Hata mashahidi wakiletwa mbele ya baraza la shule watatolewa kafara ili shule kulinda jina lake na wanahisa wake.
5.Kwa kifupi kesi za namna hii...
Ni mjadala mzuri lakini unacheza zaidi na akili au mawazo ya mwanadamu.
Je mleta mada unajua wanadamu tuna kuwa na maswali mengi kichwani kabla hatujafanya maamuzi yoyote?
Sasa naweza kusema watu katika mila na desturi zao wanakua na maswali mengi lakini nitaweka machache tu ambayo wengi huwa...
Kibanda ni jasiri sana,mimi binafsi nashukuru jamaa bado yuko hai.
Atapona na atarudi mstari wa mbele tu kupambana.
Uhuru wa waandishi hauna kikomo. Siku zote waandishi wanatofautiana kimsimamo na upeo wao pia.
Viongozi wa aina hii akiwa na mkewe utasikia anajigamba na misemo ya aina hii 'And...
Polisi wetu wanashindwa kufuata maadili yao ya kazi muda mwingi. Dereva kama hajasimama si umwache. Mwisho wa siku wanashindwa kuelewa hizo boda boda zimesajiliwa na zina namba. Soma namba andika kosa lake katika kitabu alafu mtafute baadae.
Utakuta askari wa aina ya huyo marehemu hana hata...
Wazee wa the Ostrich approach wanaweza mchukua yoyote yule.
Nachukia mtu anayekimbia kivuli chake mwenyewe.
Hawakawii kusema 'Mbona hata nchi fulani wanafanya haya tunayofanya', 'Hatuna muda wa kuangaishana na watu wanaotaka kuhatarisha maslahi yetu'
Watu wa aina hii utasikia wanasema ni...
1.Kila Idara inautendaji wake sasa kwa hapa lolote laweza kutokea watu wakalaumu Idara yote wakijua fika hauwezi kuiwajibisha idara yote hata siku moja. Ni kama wanasiasa walio madarakani wanavyoweza kulitumia Jeshi la polisi kwa shughuli za kichama huku wakitambua kitu chochote kikienda mrama...
Hivi bei ya video kamera na gari ipi iko juu?
Siamini mtu anaweza kununua gari akashindwa kununua video kamera kwa ajili ya usalama wake na watumia vyombo wengine wa barabarani.
Teknolojia hapa inayoweza kusaidia hapa siyo gharama. Mfano watu wengi wana simu za mkononi ambazo zina kamera nzuri...
1.CCTV muhimu zifungwe katika vyombo vya usafiri wa abiria hasa mabasi. Hizi zitasaidia polisi katika uchunguzi wa matukio kama haya. Pia watu binafsi kama una uwezo wa kuweka kamera katika kioo cha gari yako kwa usalama wako na wasafiri wenzako itakua poa.
Hapa hatujui nini kitamtokea nani kwa...
1.Msamehe bure alafu mpe muda arudi katika akili yake ya kawaida. Huyu kashajeruhiwa akili yake na matukio yanavyokwenda.
2.Jipe muda wewe binafsi kwani una majeraha akilini pia.
3.Akitaka ukaribu usimkwepe kwani ndiyo dawa pekee ya watu wanaopatwa na majanga kama haya.
4.Kumbuka hujafa...
1.Jina siyo tatizo kwa watu wa aina hii.Mimi kinachonishangaza ni jinsi wanavyoacha wazi vitambulisho vyao na kugundulika kirahisi. Nchi za wenzetu watu wenye majukumu mazito kama haya wanafunuliwa vitambulisho vyao wakati washastaafu. Wakati huo machungu ya raia yashapoa.
Mahesabu yao ni...
Jamaa wanajifanya ma spin doctorz wakati Tanzania hakuna usalama kwao hata chembe.
Yaani hawa jamaa wanaweka familia, watoto na wake zao rehani kwa maslahi ya watu wachache.
Wanashindwa kutumia taaluma zao na akili zao za kuzaliwa hata kidogo.
Wamesimamia sana kanuni za taaluma zao ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.