HUJUI UNALOZUNGUMZA. GENTAMYCING MTU UNAYEHESHIMIWA SANA JF LAKINI UNGEVAA VIATU VYA MWENZIO HUNGEYASEMA HAYO. HUZIJUI VILE VILE SIASA ZA KIAFRIKA. UMESAHAU MAPEMA TULIKOPITIA MIAKA SITA ILIYOPITA. VERY SORY.
Nakuunga mkono ila unaposema mama kaamua kupiga goti na kulamba miguu ya Mbowe hilo ni tusi. Kumbuka rais yupo bado madarakani na Mbowe ni binadamu hivyo kutenda kosa baadae ni jambo linalowezekana.
Mwenzako anaongea juu ya opportunity ya Tanzania kutokana na mahusiano ya Urusi na Ulaya. Mimi namuunga mkono. Hiyo ni biashara. Zaidi nataka nijue usafirishaji wa gesi yetu kwenda Ulaya utakuaje.
Umeandika vizuri lakini tuaminije taarifa yako? Wewe ni nani kwenye mamlaka ya nishati? Mkuregenzi Tanesco? Katibu Mkuu wizara ya Nishati? Au!!!! Ingependeza taarifa hii nzuri ikaletwa kwetu na wahusika ili ituconvince siku zijazo tukifanyiwa mgao tuache kulalamika kwani tutarizika umeme mwingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.