Search results

  1. C

    Hayati Magufuli alipo-deal na Kenya alionekana anaharibu mahusiano, mmeona sasa?

    Heshimu majirani zetu. Tunahitajiana. Dosari ndogo ndogo zinazungumzika bro.
  2. C

    Hivi first gentleman akiiona hii picha anajisikiaje?

    That is acting my friend. Katika kuact mambo hayo ni ya kawaida. Acheni ushambaaaaa!!!!
  3. C

    Kinachomtesa Rais Samia ndicho kilimtesa Mzee Mwinyi

    Mbuga ziko Tanzania wanaokuja kutalii wako wapi ndugu. Au ulitaka awalenge Tanzania kwenye hiyo royal tour. SIJUI BWANA unavyofikiri.
  4. C

    Kutokana na kuwepo kwa taarifa mbalimbali kuhusu ndoa ya Mrema, Halima avunja ukimya

    KILA BINADAMU MUNGU AMEMPANGIA NJIA YAKE YA SAFARI YA MWISHO.
  5. C

    Kuna haja ya Rais Samia kufundishwa jinsi ya kudhibiti hisia zake anapoongea/anapohutubia

    H HATA CHADEMA WAKIPEWA NCHI NA HII KATIBA YA SASA HAWATAIBADILISHA. WAIBADILISHE ILI HIYO MPYA IWAONDOE HARAKA MADARAKANI??
  6. C

    Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

    UMAARUFU WA DINI SIO WINGI WA WAUMINI WAKE. UMAARUFU WA DINI HUTOKANA NA UKUBWA WA MAMBO YAKE KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO YA KIJAMII.
  7. C

    Kuanzia leo natangaza rasmi Kuwachukia na Kuwalaani Wanasiasa Wote wa Upinzani nchini kwa sababu zangu zifuatazo

    HUJUI UNALOZUNGUMZA. GENTAMYCING MTU UNAYEHESHIMIWA SANA JF LAKINI UNGEVAA VIATU VYA MWENZIO HUNGEYASEMA HAYO. HUZIJUI VILE VILE SIASA ZA KIAFRIKA. UMESAHAU MAPEMA TULIKOPITIA MIAKA SITA ILIYOPITA. VERY SORY.
  8. C

    Rais Samia ameonesha udhaifu mkubwa; sasa itaonekana kesi dhidi wapinzani zina mkono wa Serikali

    Nakuunga mkono ila unaposema mama kaamua kupiga goti na kulamba miguu ya Mbowe hilo ni tusi. Kumbuka rais yupo bado madarakani na Mbowe ni binadamu hivyo kutenda kosa baadae ni jambo linalowezekana.
  9. C

    Waziri Mkuu auponda mpango wa kutumia viberenge kupanda Mlima Kilimanjaro

    KUPANDA MLIMA SIO LUXURY. NI ADVENTURE AMBAYO NI CHALLENGING NA KUHITAJI USHINDI
  10. C

    Mradi wa LNG: Tukicheza Vizuri wakati huu ni hakika Umasikini tutausahau Tanzania na Samia anaweza kuwa Rais Bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania

    Mwenzako anaongea juu ya opportunity ya Tanzania kutokana na mahusiano ya Urusi na Ulaya. Mimi namuunga mkono. Hiyo ni biashara. Zaidi nataka nijue usafirishaji wa gesi yetu kwenda Ulaya utakuaje.
  11. C

    Tuache siasa za Umeme. Je, TANESCO iwafurahishe wanyonge na kuua Viwanda?

    Umeandika vizuri lakini tuaminije taarifa yako? Wewe ni nani kwenye mamlaka ya nishati? Mkuregenzi Tanesco? Katibu Mkuu wizara ya Nishati? Au!!!! Ingependeza taarifa hii nzuri ikaletwa kwetu na wahusika ili ituconvince siku zijazo tukifanyiwa mgao tuache kulalamika kwani tutarizika umeme mwingi...
  12. C

    Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?

    WAPO NA AKINA SABAYA JAPO HAKUMTABIRIA KIFO.
  13. C

    James Mbatia amkingia kifua Spika Ndugai, kwenda mahakamani kuzuia mchakato wa kutafuta Spika mpya

    MBATIA UNA TATIZO GANI? INAONEKANA NA WEWE UTAISHIA KAMA NDUGAI. NDUGAI NI KADA WA CCM. MBONA UNAHANGAIKA HOVYO?
  14. C

    UTABIRI: Ndugai kujiuzulu Uspika na Wabunge 19 bandia kung'oka

    Hujui usemalo. Ukishakosa support ya mwenyekiti wa chama umekwisha bro.
  15. C

    Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi

    Ungefurahi zaidi angesema hakuna cha tume huru?
Back
Top Bottom