sidhani kama ni hekima na busara bungi likiendeshwa kisiasa, mi nadhani bunge ni sehemu muafaka wa kuwasilisha utendaji kazi wa wabunge wetu na maendeleo ya nchi yetu. mhishimiwa spika hebu weka siasa pembeni na mjadili vitu vya msingi bungeni. Mungu bariki Tanzania
kwa kuongezea tu kwa wanawake wanaotumia tigo zile sparms zikiingia zinakaa kule ndani na baada ya muda wadudu huanza kula zile sparms kwa kufauta uti wa mgongo, hivyo mwanamke hupata maumivu makali ya mgongo na kutokwa na majimaji yanayotoa harufu kali. wakup women starehe ya muda mfupi...
jamani hebu changieni point za msingi, kwani huo unyanyasaji wanafanyiwa watoto wao? police ni kwa manufaa ya umma kumbukeni hao mnaowatusi na kuwakejeli kama sio baba zenu ni mama zenu au ndugu zenu wa karibu. changieni kwa manufaa ya umma.
its so painfull, nadhani ni wakati wakati wa kuwashughulikia hawa uamsho, ikiwezekana kuwatokomeza kabisa, Nia tunayo, sababu tunayo na uwezo tunao pia.
hivi nyie mnao wachukia polisi ni kweli hamuoni umuhimu wake au mnaongea tu kujifurahisha, kwani huyu kamanda anatofauti gani na mwangosi wote si wameuwawa na wote wana haki ya kuchunguzwa vifo vyao. hebu tubaki katika ukweli na kuacha ushabiki usiokua na maana kwani polisi ni jamaa yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.