Leo,viongozi na wanachadema wafanya kikao cha kujadili maendeleo ya chama na jinsi ya kupambana na ufisadi mkuu katika taifa letu.Lakini pia katika kikao kilichofanywa na wanachama hao,WAUNGA MKONO MAAMUZI YA KAMATI KUU CHADEMA KWA MHE. ZITTO KABWE NA DR. KITILA MKUMBO.
Huu msemo unatumiwa sana MUCE,wakuu wa MUCE hasa watalaamu wa kiswahili,tutafutieni msemo mzuri ambao nikiutamka hautafikirika kwa fikira tata,binafsi haka kamsemo sikapendi.....
ila mi kinachoniboa muce wakuu....,ni hii week ya orientation mambo slow sana,afu najiuliza ni kwa nini....,TCU kila mwaka wanaleta wasichana wachache MUCE!...,tunakomoana au.....,basi MUCE kiwe chuo cha boys tu....,coz ktk wanafunzi 1000 na......,wasichana ni 200 tu kwa 1st year,jamani hili...
binsfsi sina wasiwasi na chadema iringa.....,na kesho naenda kushuhudia mwenge wetu ila sipendezwi na viongozi wa ccm jinsi wanavyoutumia mwenge wa uhuru kama mbinu yao kujiimarisha kisiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.