Ukikimbizana na kichaa wewe utaonekana kichaa Zaidi ya yule kichaa waliyemzoea. Nawashauri wazima wenzangu msimjibu huyu kichaa aliyeandika huu upuuzi hapo juu!
hivi hebu tutumie akili kidogo tuu kufikiri badala ya kuwa mawakala wa mtaa wa lumumba na mwisho wa siku buku 7 basi. Tuanze na Zito mwenyewe. Kwa akili ndogo tuu mtu unaanzisha chama ukiwa ndani ya chama unategemea kweli kuendelea kuwa kiongozi wa chama ulichokiasi k2a kuqnzisha kingine? Kama...
Kama ungeweza hata kunijibu hoja yangu kwa walau mistari miwili tu ningekushukuru. Kikwete ni rais wa Tanzania ambayo ni nchi yangu. Ni bahati mbaya sana imetokea mimi kama Mtanzania kuongozwa na rais DHAIFU na asiye na maono (VISION) kama Jakaya Mrisho Kikwete! Wanajamii Forum watakubaliana...
Jamani imebaki takriban miezi KUMI Kikwete kumaliza ngwe yake.
Nimejitahidi saana na kujaribu kwa kadri niwezavyo kuangalia MAFANIKIO ya serikali ya Kikwete NIMESHINDWA kupata hata mojala kujisifia ndani ya kipindi chake kama rais wa Tz.
kama yupo anayeweza kunisaidia kwa hili anifungue macho
Kompis
Mwigulu hana moral authority manake naye ni mchafu kama wachafu wengine. Kwa wale wanaokumbuka kampeni za kumwingiza mtoto wa Mgimwa Bungeni baada ya baba yake kuwa kolimbalised na magamba - Mwigulu alitumia zaidi ya milion 500 pale Kalenga! Hizi pesa zilitoka wapi kama siyo part of the dirty...
mbona unaongea ----- wewe? mwenzio aliyetangulia alikuwa muungwana kweli na ameeleza ukweli halisi wewe unakuja na hoja dhaifu kama wewe mwenyewe ulivy dhaifu kuwa kuanzia Jumatatu ni kujibu mashambulizi! Hivi kweli ndicho tunachohitaji watanzania? Kwa watu wenye akili kama yako unategemea...
Kwa kweli kama kuna kitu kimenisikitisha na kunihuzunisha ni UNAFIKI NA UZANDIKI wa Professor ISSA SHIVJI msomi mzuri naaliyebobea kwenye tasnia ya sheria. Kitendo cha kurudia kul matapishi yake mwenyewe kwamba Zanzibar inatakiwa kujitambua na pia kusema haoni tatizo kwa Zanzibar kubadilisha...
Mimi binafsi Majid niliyekuwa namjua alikuwa very critical na mchambuzi mzuri sana wa hoja, mada mbalimbali. Majid huyu aliyepost hii post siyo Majib Mjengwa ninayemfahamu. Labda kama ni Majid aliyebadilika! Sidhan Kama ni yule Majid aliyekuwa na mrengo wa kina Nyerere, Kina Salim Ahmed Salim na...
wee ni ma ------ nini? mbona nimesoma neno wa neno, herufi kwa herufi sioni maneno au neno linaloweza kusomeka au kueleweka kama tusi kwa kile mch. Msigwa alichokisema?
wakati mwingine usiweke post kwa kishabiki bila kufikiria!
kalale
kwa hiyo mkuu unataka kutuambia kuwa mambo bado kwa "waropokaji" ukimaanisha ni CHADEMA ilahayo hayo mambo ni tayari kwa MAFISADI, WAUZA SEMBE, WAVIVU WA KUFIKIRI WANAOSHUSHA ELIMU YETU, WAUAJI KWA MABOMU, TINDIKALI, WANYOFOA KUCHA, MACHO NK NA WASIOPENDA KUAMBIWA UKWELI NA UKIWAAMBIA UKWELI...
Hata kama ni ushabiki wa kisiasa sasa huu ni ushamba na upuuzi kama siyo kufikiri kwa kutumia masa..buri!!! Hivi kweli kwa akili yako alichofanya mh. balozi kinastahili kupongezwa? Kama ni kupungukiwa na ufahamu hata wewe ungepaswa urudi tena darasani
Hongera Membe Lakini kama kweli mnataka kujisafisha mbeya ya uma wa watanzania na dunia huyo balozi na nchi yake hawana budi kutuomba radhi Wananchi wote wa Tz tulikasirishwa na kuchukizwa sana na kile kitendo.
Pia huyo balozi amepoteza sifa ya kuendelea kuiwakilisha nchi yake. Arudishwe kwao...
Gazeti la mwananchi la leo lina kicwa cha habari kinasomesomeka "NAPE SASA AMTAKA MBOWE AJIUZULU"
Kwa mtizamo wangu Nape ni sawa na debe tupu ambalo kwa asili yake haliachi kuvuma!!
Ningemshauri Nape kuondoa boriti katika jicho lake kwanza kabla hajaangalia Kibanzi kilichopo kwenye jicho la...
wakati mwingine ni vizuri kuomba ushauri kabla ya kukurupuka. Ni nchi gani duniani inayoruhusu mtu yeyote kutoka mahali popote aingie ndani ya nchi husika aishi bila kufuata taratibu zozote zilizoweka kwa mujibu wa sheria za nchi husika?
Kwa taarifa yako hata nchi ya Marekani ambayo ni Taifa...
Pamoja sana mkuu.
Tunasubiria kwa hamu tusikie, tumechoka na upuuzi wa Ndugai na kiti cha speaker kutumika na serikali hata kwa mambo mazito na yenye kubeba mustakabali wa nchi. Katiba mpya ni kwa manufaa ya Watanzania siyo ya CCM au CDM. Ndugai amekuwa akipokea maelekezo toka serikalini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.