Waha ni moja kati ya makabila zaidi ya 100 tz zitto kama hili ni kweli basi unamatatizo zaidi ya yale uliyohukumiwa na cc ya chama chako au hii ndiyo akili kubwa unayotuaminisha unayo!!!!
Mume akivurugwa mke hawezi kuwa na raha sasa ccm inaumizwa na uamuzi wa cdm mnategemea cuf wanaamani lazima atafute suluhisho amani irejee ndoa yao idumu
Mwigulu kama ungejua na kutekeleza majukumu yako kama mb usingeyasema haya sasa ulipaswa uzuie wakati wa kupitisha bajeti lakini wakati wa bajeti ulialia kuitikia ndiyooooooo sasa unapiga makelele
Huyo mwenyekiti kama hakubaliani na maamuzi ya vikao vya juu vya chama chake c naye ajiondoe tu wakaanzishe chama chao na Zitto kwa nini wanang'ang'ania cdm kama mtaji wa kuanzisha chama ni watu na wao wanaamini zitto anapendwa kuliko cdm ni muda muafaka kwao kuanzisha chama chao waache sarakasi
Chadema mkishindwa kumfukuza zitto hamfai kuwa kuaminiwa kupewa dola kama mtaendelea kuoneana haya kama ccm, lazima muwe na maamuzi yasiyotetereshwa na mashinikizo ya kijinga kama haya. hizo picha atakuwa kazitengeneza zitto mwenyewe hii ni usanii vinginevyo aliyetengeneza flayaz hizo...
Aliyewateua ndiyo mzigo haiwezekani uende kuchagua mayai viza halafu uyabaini ni viza uendelee kupiga kelele nina mayai viza huku umeyakubatia badala ya kuyatupa lazima umebeba nazi badala ya kichwa. Nape chama chako ni mzigo kwa Watanzania
MMM huwa namchukulia kama mashabiki wa mpira ambao ni wajuzi sana wa kukosoa na kushangilia ushindi lakini ukimwambia aingie dimbani kumbe hajui hata mpira unapigwaje
Mwanakijiji njoo TZ walau kwa mwezi mmoja ushiriki mabadiliko hata ya kitongoji chako baada ya hapo urudi nyuma ya keybod...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.