yap ni writting error, bt jina lar halikupatikana popote, i mean kwa waliopata, waliokosea, na hata waliotakiwa kwenda kurekebisa..... Asante kwa kunikosoa.....
KAMA MTU ALIOMBA MKOPO NA FACURTY YA PRIORITY NA PIA ANAVYO VIGEZO VYOTE, BT JINA LAKE HALIKUPA
TAtiKA POPOTE PALE, JE WAPI AANZIE AU NDO AMEKOSA KABISA NA AKIPANGE MWENYEWE....... nawasilisha
acha hzo me mwenyw nina zote mia tena nachukua internation business..... so haijalishi kama una tatu au 2 dvs..... hii ndo ccm bhana. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI......... Hoya ni masihara tu msiaze siasa.....
Thax god coz n miongoni mwa nilionekana kwa board ya loans,,, haya kwa wale waliopata zote kama mm 2pongezane...... Bifu ctaki wana jf..................
achen lawama jaman kila m2 atenda chuo, tatzo vijana weng mna haraka na maana mnakosa vtu vitamu... teh teh waone kwanza, me mbona nimepata yangu BCOM.IB.......
Ni kama msiba bt usikie kwa jiRani na usiombe ufike kwako. Bt pouwa nimeshajifunza mengi ya maisha, and dat nilikuwa najifunza, so ctaki tena..........
Raha ya msiba usikie kwa mwenzako n C kwako sa hata kufukuzwa kwa niaba YA mgomo iwe mwa mwenzako na c kwako,..... So be care na hiyo migomo yenuuuuuuu.
Yalinikuta leo,
Nikiwa home nimetulia huku nimefulia mara napokea cm kwa mdada kuwa ananihitaji kwenye mambo ya wakubwa yale, bt akasema atalipia kila ki2,bt poa ingawa moyo wngu ulisita bt shetani akanizidi nguvu bhana, so akanielekeza chumba alifikia, bt kumbe alikosea number ya chumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.