Muda mrefu sasa wadau wa soka wamekuwa wakilalamika kiwango kibovu cha soka nchini Tanzania na kutupia lawama kwa viongozi wa vilabu,makocha na wachezaji lakini kuna jambo moja ambalo hawajalifanyia uchunguzi wa kina nalo ni kuhusu waamuzi ambao kiwango chao cha malipo kwa mchezo kipo chini mno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.