Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.
Wanafunzi tunaoendelea na masomo vyuo vikuu nchini tulioomba mkopo upya kwa mwaka wa masomo 2013/14 wote tulikosa na kupewa majibu ya matumaini kuwa yale majina yalikuwa ya fresher's ( yaani watu waliochaguliwa vyuoni kwa mara kwanza kwa mwaka huuu wa...
Sasa kaka km ndo vitabu nilivyovisoma shuleni kwetu niandike nini? Sisis shuleni kwetu tumesoma current issues zaidi, bt sorry km una interest kwenye hizo Sura za kitabu vhangu cha primary.
Ingawa hadi sasa hajajulikana ni vyema tutazame jinsi papa mpya anavyokabiliwa na majukumu katika kazi yake ya utume kwa kanisa.
White smoke appeared from the chimney above the Sistine Chapel Wednesday, and bells from St. Peter's Basilica have pealed, meaning the 115 Roman Catholic cardinals...
Philipo Mulugo.
Nyie nyote cha mtoto. amai nilipokwenda South Africa nilitengua Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ili kuwaridhisha Wazanzibari, nikaziunganisha Tanganyika na Zimbabwe. Sasa hivi nikienda Zanzibar wanalilia niwe rais ili niwape uhuru kamili.
Mtihani wa Kiswahili.
SEHEMU E.
Eleza hatua za kuandaa Mdahalo.
Mwanafunzi kwa kutokujua maana ya Mdahalo akajibu hatua za kuandaa mdahalo kama ifuatavyo:
1.Unachukua mdahalo wako kisha unauosha vizuri
2.Hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana.
3.Bandika Sufuria lako jikoni.
4.Weka...
Pole sn kamanda, hata Nyerere na wazee wenzie walipitia tabu km hizi wkt wa kudai uhuru, bt naamani kupitia umoja wetu freedom is coming tomorrow. Tunakuombea upone haraka.
1.Dr slaa high school
2.mbowe boys
3.Mdee Girls
4.zitto seminary
5.mnyika seminary
6.lissu boys
7.sugu boys
8.nasari academy
Zimefutiwa matokeo yao baada ya kufanya vizuri kupita kiasi.
Inamaana;
William Lukuvi
Stephen Wassira Museum School
Job Ndugai
Sylivester Mabumba na nyinginezo zilizoongoza mwaka jana mwaka huu hazijaingia top 10?
Gazeti lenyewe ni la ''UHURU'' wa Wapuuzi. Jambo la muhimu alilotakiwa kusema NAPE a.k.a ''MWANAHARAMU'' ni km amempata babayake ua la!, kabla ya MNYIKA kutaja kiwango chake cha Elimu na
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.