So far tumecheza vizuri, magoli tuliyofungwa ni kama tumeviziwa hivi. Tujipange na game zijazo na naamin mipira ya kutenga sasa tutaiepuka ama kuitafutia suluhu ya kudumu.
Ihefu alitufunga na Azam pia mechi ya kwanza magoli yote yalitokana na mipira ya kutenga.
Tukifanikiwa kutibu huu ugonjwa...
Ukitaka kuwa bingwa lazima ushindane na timu ngumu, Man U imemtoa PSG ambaye ni giant pia, ilimpiga PSG pia. Kwa Barcelona ni kipimo kingine cha kuelekea kwenye ubingwa. Huwezi kuwa bingwa kwa kuombea kupangwa na timu nyepesinyepesi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni local na ni uswahilini laki 5 inaweza isiishe.
Chumba/frem appr elf 20 -30
Mashine ya kunyolea 1 appr elf
Kiti cha laki moja hv
Vioo viwili vya size ya kawaida mbele na nyuma kama elf laki moja hv.
Na vikolokolo vidogodogo.
Return yake itategemea na location na ufundi wa kinyozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.