jaman tujalibu kujenga hoja kwa vitu vya msingi kama mtu hakutaja jina kamili na ww ndg yangu umekulupuka na kusema alichokuwa akimaanisha as if ulikuwa ndan ya moyo wake achana na mawazo mgando kaka hii cyo karne ya kufikilia elewa ni hayo 2
tatizo hakujua kuwa chama ni institution ambayo inaunda serikali makini yenye watu makini yeye akaunda serikari kwa uswaiba ki2 ambacho kitamkosti mpka anakufa
shibuda akae pemben hii siyo ngoma ya kisukuma unachezacheza tu kuwapiga roba magamba siyo mchezo yeye acha akae pemben hii ngoma lazma ujipange kama kutoa pepo ivi
vijana wadogo ambao tulitegemea kulisaidia taifa le2 lkn wanatumia jukwaa la siasa kuongea upumbavu ambao hata baba zao hawawezi kusikiliza nape na mwigulu wanamawazo mgando kweli hata speech zao zinaonesha hawana akili kabsa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.