Hakuna wa kushindana Mungu ila muda utaamua. Kama kakobe anaimba kweli atapita kweli yake itasimama. Hata Trump na ujeuri wake wote hajawahi pingana na Kweli ya Mungu
Mshahara wa mtumshi upo katika maktaba wake wa kazi utaajiriwa kama fulani ngazi ya mshahara ni utalipwa kiasi hiki cha mshahara na kila baada ya mwaka mmoja utapata nyongeza annual increment na baada ya miaka mitatu utapanda daraja. Kupandisha mshahara ni huruma ya kwanini hasa serikali iliyopo...
Hakuna mtu mbaya katika siasa kama anakuongezea Kura. Toka upinzani uanze hakuna mgombea urais aliewahi kupata Kura kama za EL hayo ni mafanikio makubwa. Hata huyu nyarandu amini usiamini ataongeza Kura za CHADEMA. Tusidharau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.