Suala la bastola au smg zote ni silaha kikubwa ni taiming yaani nani atamuwahi mwenzake kushoot na kwa target! Hata ukiwa kwa kisu unaweza waua wote wawili mwenye pistol na mwenye smg wewe tu na ujasiri wako!
Kiwanja kipo bahari beach meter 50 toka baharini na mt 50 toka barabara kuu ya kwenda ununio ukubwa ni approx 5 to 6 hectors na kina nyumba kubwa (mansion) katikati! Serious buyer tuwasiliane 0767430618! Picha zipo na ukihitaji kukiona physically ni poa! Price 950 Mill.
Wadau poleni na mihangaiko ya hapa na pale,
Naomba kufahamishwa kuhusu hawa jamaa zetu wa bima ya afya, coz since last time fufanye oral interview naona wamepotea mazima na hakuna public announcement yoyote ile kuhusu nini kinaendelea na tutarajie yapi na lini?
Yaani hawa jamaa sijui utakuaje na wanatakaje manake kama wametufunga kamba macho na misikio yote kwao!! Mie hadi browser ya simu yangu imekariri page yao!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.